Leo ni siku ya kuosha mikono Dar es salaam

Barubaru

JF-Expert Member
Apr 6, 2009
7,161
2,323
Amani ziwe juu yenu wana JF.


Namshukuru Muumba nimefika Dar es salaam salama kabisa. Na nilipokuwa njiani kutoka airport kuelekea ninapofikia Upanga , mtaa wa maliki nilistaajabu kuona Gari maalum linatangaza njiani maeneo ya Ilala bungoni ( zamani tukipaita New yamungu mengi) kuwa leo ni siku ya kuosha mikono kwa watu wa Dar. Na siku hii imeandaliwa na Wizara ya Afya na ustawi wa jamii kwa msaada wa watu wa marekani.

Nilistahajabu kusikia kuwa waTz hususan wakaazi wa dar es salaam hamjui kunawa mikono yenu mpaka mnafundishwa na wazungu?


natoa pole sana
 
Na siku hii imeandaliwa na Wizara ya Afya na ustawi wa jamii kwa msaada wa watu wa marekani.

This is the catch, kwa hisani ya........ na wizara ya ......................... Huu ni mchingo mwingine wa kuchota mihela, hamna kitu hapa
 
....Nilistahajabu kusikia kuwa waTz hususan wakaazi wa dar es salaam hamjui kunawa mikono yenu mpaka mnafundishwa na wazungu?.....natoa pole sana

Si Dar es Salaam tu. Today is a ''Global Handwashing Day'' mkuu na theme yake ni ''Clean Hands Saves Life''
 
Si Dar es Salaam tu. Today is a ''Global Handwashing Day'' mkuu na theme yake ni ''Clean Hands Saves Life''

Mkuu naomba ABC za hii program nami nijielimishe... pia kama unafaham chochote kuhusu program ya 'ulevi noma' na nyingine yoyote ya "kwa hisani ya watu wa Marekani"
 
Amani ziwe juu yenu wana JF.


Namshukuru Muumba nimefika Dar es salaam salama kabisa. Na nilipokuwa njiani kutoka airport kuelekea ninapofikia Upanga , mtaa wa maliki nilistaajabu kuona Gari maalum linatangaza njiani maeneo ya Ilala bungoni ( zamani tukipaita New yamungu mengi) kuwa leo ni siku ya kuosha mikono kwa watu wa Dar. Na siku hii imeandaliwa na Wizara ya Afya na ustawi wa jamii kwa msaada wa watu wa marekani.

Nilistahajabu kusikia kuwa waTz hususan wakaazi wa dar es salaam hamjui kunawa mikono yenu mpaka mnafundishwa na wazungu?


natoa pole sana
ukawasiliana na viungo vyako vinavyohusika na kufikiri, ukaona hii ndo thread ya kuweka hapa.!!
 
ukawasiliana na viungo vyako vinavyohusika na kufikiri, ukaona hii ndo thread ya kuweka hapa.!!

Imenishahajabisha sana kuona kuwa Wa Tanzania hususan wakaazi wa Dar pamoja na maji yote mlionayo hamjui kuosha mikono yenu kwa kutumia maji na labda kuongezea kwa sababu kidogo mpaka aje mzungu kuwafundisha.

Hii ni fedheha kubwa sana na Zanzibar hakuna kitu kama hicho.

Haya sasa mnategemea mnaweza mukaendelea kama hata kunawa mnafundishwa.
 
Si Dar es Salaam tu. Today is a ''Global Handwashing Day'' mkuu na theme yake ni ''Clean Hands Saves Life''

Hilo ni jina tu wametumia. Mbona Zanzibar haikuwepo na hata Doha Qatar nilikotokea hakuna kitu kama hicho. Nafikiri huo ndio unaoitwa utegemezi na ukoloni mambo leo kwani sasa unafundishwa mpaka kunawa mikono.

Tujiulize mbona wenyewe wakitoka haja kubwa wanatumia makaratasi na sio maji kama wanavyowafundisha watu wa Bara?

Jikomboeni katika utumwa wa kiakili
 
Wametuona vichwani makamasi,ndio maana wanatuchezea.Wajinga ndio waliwao.
Amani ziwe juu yenu wana JF.


Namshukuru Muumba nimefika Dar es salaam salama kabisa. Na nilipokuwa njiani kutoka airport kuelekea ninapofikia Upanga , mtaa wa maliki nilistaajabu kuona Gari maalum linatangaza njiani maeneo ya Ilala bungoni ( zamani tukipaita New yamungu mengi) kuwa leo ni siku ya kuosha mikono kwa watu wa Dar. Na siku hii imeandaliwa na Wizara ya Afya na ustawi wa jamii kwa msaada wa watu wa marekani.

Nilistahajabu kusikia kuwa waTz hususan wakaazi wa dar es salaam hamjui kunawa mikono yenu mpaka mnafundishwa na wazungu?


natoa pole sana
 
Back
Top Bottom