basi mpambano uwepo tu hapa live, ili mod wa chit chat Erickb52 aweze kukagua kama mpambano unakwenda sawa! naogopa tego lisijepitiliza ikanasa kama ya waleeeeeee wa keiiiii! lolest!yaaani haya ndio masharti na maashahidi sitaki kabisaa ila tu huyu Asprin ayakubali manake Young_Master kamuweza kweli safarii hii hana hamu. mkuyati hauna dili hii ndio yanyewe
basi mpambano uwepo tu hapa live, ili mod wa chit chat Erickb52 aweze kukagua kama mpambano unakwenda sawa! naogopa tego lisijepitiliza ikanasa kama ya waleeeeeee wa keiiiii! lolest!
sawa mama! yetu macho kwenye mpambano kutakuwa na brake time?? nauliza kama kuna brake time, ili muda huo niutumie kumuongezea mkuyati kwenye damu, muhusika mkuu wa zoezi, lolest!huyu mod wa nini tena cacico? nimesema yeye hatakiwi wanaotakiwa ni Yummy BADILI TABIA Kaizer upo hapo?
Huko kwenu kote naona alikuwa hajafika gfsonwin! jamani niacheni niuelezee ulimwengu kuwa vibabu vingine ni noumer! no boost, no nini! kitu imara ni mninga wenyewe! sema alikuna na kinu cha chuma! uliza sasa huo mtwango wake! chezeiya babu Asprin weye?? ngoja akakukague na wewe, utajasema hapa!ukiona hivyo basi huyo cacico mvivu lolest! network ya kibabu unaipata kwa manati bado hajakwamba mara nina kisukari mana nina presha . kimoja kwake ni ishu kama jogoo tu hawana lolote............hapa ishu ni kijana mujarabbb kama Kaizer wangu game inakuwa ya uhakika aisee usimpiie hata kidaogo best
Hahahaha.....
Foursome tena? OMG..... :rip: ODM....:amen::closed_2::focus:
mpe rahaze Kaizer wako mwaya! mi Young_Master anajua mwenyewe utamu wake ulipo, ndio maana yupo kimyaaaaaa anakula chabo tu! ila vibabu bwana, unaweza ukadhani umeua, utasikia KIMYAAAAA, Kumbe kanasikilizia ladha kha! JAMANI VIBABU MUWE MNAHEMA MUDA WOTE, MNATUOGOPESHA EBO!
Weye unauweza? Huu mdogo tu wa kutambua hiki ni nini umeshindwa?? FYI hao ni kitimoto wanakula!! Yummy bana, una mawazo ya mbaliiii. Haya ita kina cacico, BADILI TABIA, gfsonwin, Kongosho na charminglady waje wajaribu na wao.Bora umekubali kushindwa mwaego....mchezo 'huu tu' huuwezi!!