johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,903
- 141,850
Ufipa hali ni tete!
Tumpate mtumiaji mmoja atuambie zinapotengenezewa.Unamkuta mtu anaipinga CHANJO dhidi ya CORONA kwa kigezo kuwa zinatoka ULAYA kwa mabeberu....huku kila siku akimeza TEMBE DHIDI YA VIRUSI VYA UKIMWI....sasa sijui hizo tembe zinatengenezwa Lushoto Tanga?!!! 🤣
Hivyo vyote havina tija yoyote ile kwangu. Nguvu ninazo, na pia najitahidi kucheza viwanja salama.Chanjo ya Ukimwi ikibisha hodi hutochanga?
Chanjo ya kuongeza nguvu za ngono ikifika hutochanja!?
Ndg; wewe ni kichaa!
Sasa hizo chanjo ukisha chanjwa, unapatwa na hayo magonjwa? Je kwenye jamii yetu kwa sasa unayasikia hayo magonjwa kuwaathiri watoto na watu wazima?Zile za surua na pepopunda ingekuwa unazipata Sasa, nazo ungezikataa, je Ile ya homa ya manjano na Ile ya in au zile za matende , upi mtazamo wako kuhusiana nazo.
Mimi napinga chanjo ya Corona kwa ufanisi wake mdogo! Haina maana kupoteza muda wangu kuchanja chanjo ambayo haitanisaidia kunikinga na hayo maradhi kwa 100%!Unamkuta mtu anaipinga CHANJO dhidi ya CORONA kwa kigezo kuwa zinatoka ULAYA kwa mabeberu....huku kila siku akimeza TEMBE DHIDI YA VIRUSI VYA UKIMWI....sasa sijui hizo tembe zinatengenezwa Lushoto Tanga?!!! 🤣
Iko hivi mkuu.....Mimi napinga chanjo ya Corona kwa ufanisi wake mdogo! Haina maana kupoteza muda wangu kuchanja chanjo ambayo haitanisaidia kunikinga na hayo maradhi kwa 100%!
Huku ni kupotezeana tu muda. Bora niendelee na huu utaratibu wangu wa kuchukua tahadhari.
Tetenasi ya wapi bhana! Sisi wenzako mbona ni mara nyingi tumekatwa na chupa, vyuma chakavu, kuchomwa na misumari kwa bahati mbaya, nk.Iko hivi mkuu.....
Kwa hiyo pamoja na kupewa chanjo mathalani dhidi ya TETANUS ndiyo usichukue tena tahadhari?!! 😲😲
Watoto wadogo huwa wanachanjwa chanjo dhidi ya KIFUA KIKUU....je huwa hawaugui huo ugonjwa?!!!
Utawala wa awamu ya 5 uliendesha propaganda hasi dhidi ya chanjo ambayo mpaka Leo bado ipo vichwani mwa raia.Upo sahihi kabisa! Covid ni sayansi! Chanjo ni sayansi! Lakini utakuta kila mtu anajifanya kujua wakati asprini tu hajui kuigawa wala kuitengeneza!
Yaani watu wanazungumzia suala muhimu la chanjo kama wanavyozungumzia timu zao za Ulaya wasizozijua vizuri!
Watu wa hivyo kama siyo vichaa basi ni wendawazimu!!
Duuh; naona umedhihirisha kuwa wewe ni kichaa!Hivyo vyote havina tija yoyote ile kwangu. Nguvu ninazo, na pia najitahidi kucheza viwanja salama.
Labda itokee chanjo ya kuongeza miaka ya kuishi hapa duniani! Hapo nitachanja. Maana natamani niishi miaka mingi ili nije kula matunda ya kazi zangu nizifanyazo sasa.
Mkuu hiyo mifano uliyoitoa ni viashiria vikubwa sana ya ukichaa. Mitaani huku wengi ni vichaa kisa dini. Wengine ni vichaa kisa Simba, Yanga na zile timu zao za Ulaya wasizozijua vizuri!Ni sawa na kusema kati ya hizi timu mbili Simba na Yanga, ukiwa Yanga au Simba afya ya akili yako ina mushkeli.
Au kutumia dini ( madhehebu) kwamva ukiwa mkristo au muislam akili ina tatizo.