UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Nimekwambia hivi ni wewe ndio ulianza kwa kuhitimisha kuwa huyo jamaa hawezi kuja kupona tena corona kirahisi kwa kutumia Asprin kwa hizi variants zengine kama Delta,sasa hapo nani alianza?Mimi sina cha kubadili kwa sababu nilichosema hakina utata wowote wala hakijapingana na mamlaka za madawa kwa sababu nimesema kuwa Asprin ina uwezo mdogo sana wa kustimulate kinga ya mwili dhidi ya Corona na ndiyo Maana mamlaka za kuaminika za madawa ya binadamu kama vile FDA walikataa kupitisha dawa kama hizi kuwa zinatibu Corona wakati wa Trump.Hapa kuna utata wowote?
Kosa lako la kuhitimisha kuwa huyo jamaa amepona kutokana na dawa alizotumia umeshalitambua?