#COVID19 Leo ni siku ya 23 tangu nipone au kupata nafuu na ugonjwa wa Covid-19

Mimi sina cha kubadili kwa sababu nilichosema hakina utata wowote wala hakijapingana na mamlaka za madawa kwa sababu nimesema kuwa Asprin ina uwezo mdogo sana wa kustimulate kinga ya mwili dhidi ya Corona na ndiyo Maana mamlaka za kuaminika za madawa ya binadamu kama vile FDA walikataa kupitisha dawa kama hizi kuwa zinatibu Corona wakati wa Trump.Hapa kuna utata wowote?

Kosa lako la kuhitimisha kuwa huyo jamaa amepona kutokana na dawa alizotumia umeshalitambua?
Nimekwambia hivi ni wewe ndio ulianza kwa kuhitimisha kuwa huyo jamaa hawezi kuja kupona tena corona kirahisi kwa kutumia Asprin kwa hizi variants zengine kama Delta,sasa hapo nani alianza?
 
Mkuu pole kwa majanga umenikumbusha mbali kidogo.

Mimi sikuwahi kupata corona Ila familia yangu yote ilipata corona ile ya pili. Mke, watoto 3, mama mkwe, Binti wa kazi yaan wote.

Mke wangu ni mtumishi pale Aghakan hospital, yeye ndiye aliye ambukiza familia maana ndiye alinza dalili kwa madai yake..

Wakati wanaugua mm nilikuwa safarin akanipigia cm na kuniambia familia mzima iko karantini. Mkuu bahat mbaya mm nilijua wenye corona wanakufa wote hivyo nilijua familia mzima nitazika.

Babaaa, ukisikia mtu kuomba Mungu jaman niliomba, nilitubu dhambi zote , nikarudi dar na kukuta nyumba nzma, nikukooa, kubanwa kifua, nilikuwa natembea nalia njian, mke wangu alinitaka nikalale guest nisije nyumban kabisa kwa lengo tusife wote. maana nyumba nzma Ina virus.

Kiufupi walipona wote. Nilijifunza Sana kwamba Mungu anajibu maombi watu wakiomba. Pole mkuu. Corona ipo tuchukue taadhar Wana JF
 
Aliyewaambukiza nyie wa kiume humo ndani anaweza kuwa beki3;)
Jamani mimi leo naandika ni siku ya 23 tangia nipone au kupata nafuu na ugonjwa wa korona, pia nikamwambukiza mke wangu na mamaangu mzazi alikuwa amekuja kututembelea pia ikampiga na binti wa kazi pia aikumbakiza na shemeji alikuwa amkuja salimia naye akubaki salama, yaani nyumba nzima tulichapwa na Korona kasoro watoto wangu wadogo mmoja darasa la nne na mwingine lasaba.
 
Nimekwambia hivi ni wewe ndio ulianza kwa kuhitimisha kuwa huyo jamaa hawezi kuja kupona tena corona kirahisi kwa kutumia Asprin kwa hizi variants zengine kama Delta,sasa hapo nani alianza?
Mimi nilichokuwa namaanisha ni kwamba kwa kuwa Asprin ina uwezo mdogo sana wa kustimulate kinga ya mwili hata kama ilitokea amepona kwa sababu ametumia mchanganyiko wa Asprin na hizo dawa nyingine haitakuwa rahisi kupona kwa variant nyingine kwa sababu zina nguvu zaidi.Ila wewe ulihitimisha moja kwa moja kuwa alipona kwa sababu ya dawa alizotumia ndipo nikakuuliza kuwa umejuaje kuwa kilichomponesha ni dawa alizotumia?

Mimi sikuhitimisha moja kwa moja kuwa amepona kwa sababu ya Asprin bali niliongea kwa probability.
 
Ujumbe ni mzuri, lakini kichwa cha habari kinanitatiza. Sielewi aliye andika haya ni reporter kuhusu kijana aliyepata uviko ama ni mgonjwa mwenyewe anaongea? Na je kama yeye na familia yake wote walipona , huko kujinyonga kumekujaje?
Ilimpiga mpaka kwenye ubongo, hajapona vizuri maeneo hayo
 
Mimi nilichokuwa namaanisha ni kwamba kwa kuwa Asprin ina uwezo mdogo sana wa kustimulate kinga ya mwili hata kama ilitokea amepona kwa sababu ametumia mchanganyiko wa Asprin na hizo dawa nyingine haitakuwa rahisi kupona kwa variant nyingine kwa sababu zina nguvu zaidi.Ila wewe ulihitimisha moja kwa moja kuwa alipona kwa sababu ya dawa alizotumia ndipo nikakuuliza kuwa umejuaje kuwa kilichomponesha ni dawa alizotumia?

Mimi sikuhitimisha moja kwa moja kuwa amepona kwa sababu ya Asprin bali niliongea kwa probability.
Na mimi nilikuwa nazungumzia huo uwezekano wa hiyo Asprin pamoja na hayo madawa mengine kuwa na msaada kwa mwenye kuumwa corona na si kwamba nilihitimisha kuwa huyo jamaa kilichomponesha hasa ni hizo dawa ndio maana uliponiuliza kama nina uhakika ya kwamba huyo jamaa kapona corona kwa sababu ya asprin na si kwamba ni kwa kinga zake tu za mwili? nikajibu mimi hilo siwezi kujua muhimu ni hizo dawa kuwa na uwezo wa kumsaidia mgonjwa wa corona.
 
Na mimi nilikuwa nazungumzia huo uwezekano wa hiyo Asprin pamoja na hayo madawa mengine kuwa na msaada kwa mwenye kuumwa corona na si kwamba nilihitimisha kuwa huyo jamaa kilichomponesha hasa ni hizo dawa ndio maana uliponiuliza kama nina uhakika ya kwamba huyo jamaa kapona corona kwa sababu ya asprin na si kwamba ni kwa kinga zake tu za mwili? nikajibu mimi hilo siwezi kujua muhimu ni hizo dawa kuwa na uwezo wa kumsaidia mgonjwa wa corona.
Hukuwa unazungumzia uwezekano bali ulihitimisha kuwa dawa zimemponya jamaa na ushahidi wa wazi kabisa huu hapa👇
20210828_134809_temp.jpg
 
Pole Sana mkuu na hongera sana. Hapo kwenye pua kupoteza uwezo was kunusa mwenyewe mwezi ulopita nlipatwa na Hali hyo na ckuwa na mafuta Wala kikohozi msaada wangu ulikuwa ni kunywa mchanganyiko was tangawizi,asali na ki2nguu saumu ndipo nkawa fresh iia mwenyewe naamini ulikuwa covid. 2endlee kumwamini mungu. Amina.

Kuna wengine niliwahi kukutana nao wanasema waliwahi kupata hali hiyo 2013.

Wanaamini Corona ilikuwapo hata kabla ya 2013 na mtu hawatoi kwenye imani hiyo.

Hiiiiii bagosha!
 
Hukuwa unazungumzia uwezekano bali ulihitimisha kuwa dawa zimemponya jamaa na ushahidi wa wazi kabisa huu hapa👇
View attachment 1912617
Sasa hapo hujaelewa kipi? jamaa kasema kapona na hayo madawa aliyoyataja ndio kasena kayatumia, sasa ulitaka niseme vp?
Hayo ndio madawa yaliyomsaidia maana hakuna dawa ya moja kwa moja ya corona hivyo katumia hizo dawa zimemsaidia na hata wewe unakubali kuwa asprin inasaidia kidogo na ndio maana wanaongeza na madawa mengine.

Bado nazungumzia uwezekano maana sina uhakika hata kama huyo jamaa ameumwa kweli corona ila muhimu ni hayo madawa.
 
Mama Mwingira alipigwa na wimbi la pili ilipokuja delta wimbi la tatu likammalizia.Akili kichwani mwako pata chanjo au endelea kumsikiliza Gwajima
Chanjo inatukinga na wimbi la ngapi?!
Je, inatukinga na wimbi lijalo pia eh?!;!
 
Kwani Asprin ndio iliyopambana na virusi vya corona au ni kinga zake za mwili?

Alikua na haja gani kama Asprin Junior hazikutumika kuondoa uwezekano wa migando ya damu?
Tuache kupotosha kwa kujifanya wajuzi kumbe Bure kabisa.
 
Katika variants za Delta na Lambda Asprin pamoja na nyungu haziwezi kufua dafu.Kimbilia chanjo haraka sana halafu utarudi hapa bila shuruti kunishukuru.

Mimi nilishawahi chanjo mapema sana na sasa hivi nafanya mpango wa kupata booster.Binadamu ambae haamini katika Sayansi ni binadamu mjinga sana na binadamu mfu.

Wakati gonjwa la ndui lilipoingia duniani lilitishia kuua binadamu wote duniani lakini chanjo iliokoa jahazi.Kama siyo chanjo gonjwa la ndui lilikuwa liue binadamu wote duniani.

Pona yako ni uamini katika sayansi kwa sababu hata kama utapona sasa hivi jua kuwa siku za mbele wanakuja variants nyingine wa Corona ambao itakuwa siyo rahisi kupona kwa kutumia Asprin.
Ukiwa unaumwa unawezaje kuchanja Mkuu hiyo commando TU Ina homa ya hatari uongezee na ya kutobolewa mkuu ngoja ultupate UFAFANUZI kwa hili kwanza
 
Back
Top Bottom