MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Hamna CCM imara kama upinzani ni dhaifu, Chadema fanyeni kujitahidi hili kuleta amsha amsha ndani ya nchi.
Kwa kifupi mtu akisema Chadema imepoteza dira anakuwa yuko sahihi sana. Ebu tujikumbushe baadhi ya vitu vilivyofanywa na Chadema mwaka huu.
Lakini pia switch ya twitter anayo mama, nidhamu ikipungua kidogo nako pia anaweza kuzima bila shida.
Kwa kifupi mtu akisema Chadema imepoteza dira anakuwa yuko sahihi sana. Ebu tujikumbushe baadhi ya vitu vilivyofanywa na Chadema mwaka huu.
- Kuwatoa wabunge 19 bungeni (hapa chadema walifeli kwa 100%)
- Maandamano makubwa ya katiba nchi nzima (Hamna hata mtu mmoja amewahi kuandamana mwaka huu)
- Kumtoa Mbowe lupango (bado kamanda yuko ndani, tunamuombea atoke lakini)
- Kumchafua JPM duniani (hapa napo wameangukia pua- JPM ameendelea kuwa kipenzi cha watu Tanzania, Afrika na duniani)
- Kumtoa mama kwenye reli (mama amekataa kata kata kutoka kwenye mstari)
Lakini pia switch ya twitter anayo mama, nidhamu ikipungua kidogo nako pia anaweza kuzima bila shida.