Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Kwa kweli sijielewi kabisa ,tangu kuanza mwaka huu 2011 leo ni miezi 5 net.Sijanunua chochote cha maana wala kufanya lolote la maana mbali na kunywa,kula,kuvaa licha ya kupata mshahara ambao nikilinganisha na wenzangu naona wangu ni mnono.
Nimerogwa?,ni ujinga? nimekuwaje mimi ?
Kwa kweli leo nimewaza sana.
Msaada unahitajika hapa
Nimerogwa?,ni ujinga? nimekuwaje mimi ?
Kwa kweli leo nimewaza sana.
Msaada unahitajika hapa