RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,615
- 3,909
Mara nyingi siku kama hii na tarehe kama hii viongozi mbalimbali ambao walifanya kazi kwa ukaribu na JPM huwa wanatoa neno au kupost chochote hata kazi zake siku kama ya leo lakini imekuwa tofauti wengi wameogooa kupost chochote siyo wabunge hata waliopo ndani ya serikali wameogopa kutoa neno lolote ,
Je ni kweli mama anaogoowa kiasi hicho hadi kufanya viongozi hao kutotoa hata neno lolote kuhusu jpm siku kama ya leo kwa kuhofia kunyanganywa vyeo vyao au wapo busy na majukumu.
Kuna kiongozi mkubwa ndani ya ccm aluwahi kuniambia hivi usione unasifiwasifiwa lakini wana CCM wengi ni wanafiki na aliwahi kusema CCM hawaachiani maji mezani maana hawaaminiani.
Je ni kweli mama anaogoowa kiasi hicho hadi kufanya viongozi hao kutotoa hata neno lolote kuhusu jpm siku kama ya leo kwa kuhofia kunyanganywa vyeo vyao au wapo busy na majukumu.
Kuna kiongozi mkubwa ndani ya ccm aluwahi kuniambia hivi usione unasifiwasifiwa lakini wana CCM wengi ni wanafiki na aliwahi kusema CCM hawaachiani maji mezani maana hawaaminiani.