- Thread starter
- #21
Sasa kama Idd n kesho hofu yako ya niniso ofisi za serikali zinatoa huduma kama kawaida?? samahani naomba kujua kama nhif na nssf wapo wazi!! nawapigia simu zao zinakatika..nahisi kama hawako wazi hivi
Sasa kama Idd n kesho hofu yako ya niniso ofisi za serikali zinatoa huduma kama kawaida?? samahani naomba kujua kama nhif na nssf wapo wazi!! nawapigia simu zao zinakatika..nahisi kama hawako wazi hivi
hawakawii hawa ndugu . hivyo nikataka mfanyakazi mmoja tu wa serikali aseme wapo kazini kama kawaidaSasa kama Idd n kesho hofu yako ya nini
Pole kwapovuAcha kupotosha wapi mwezi umeonekana hapa TANZANIA? Kenya wao EID ni leo? Somalia, COMMORO nk acha unafiki. DINI YETU HAITAKI UNAFIKI.
FUNGENI AU FUNGULIENI KWA KUONA MWEZI.
hawakawii hawa ndugu . hivyo nikataka mfanyakazi mmoja tu wa serikali aseme wapo kazini kama kawaida
Kwa mfano mwezi wa kuanza kwa mfungo,Mwezi ulionekana Saudi Arabia,Kuwait,Qatar,Bahrain ila Oman haukuonekana na hawakufunga,wakaanza kufunga siku ya pili ikiwa wapo nyuma kwa siku moja na wenzao,Elimu ya kuandama kwa mwezi ni elimu kubwa sana,
mpaka leo duniani wanazuoni bado wanabishana kipi kipo sahihi, lakini Quran imesema hivi funga au fungueni swaum ramdhan kwa kuuona mwezi. Kama hawajauona basi Insha Allah wakiuona watafungua.
Hata nchi za Oman na Saudia Rabia, mwezi ukiandama Saudia watu wa Oman hawafungi wa hawafungui, na Oman pia hivyo hivyo.
Ndio dini ilivyoelekeza,heshimu imani za wenzako,kama huna cha kuchangia piga kimya.sherehe za kutegemea kasatelaiti kaitwacho mwezi ni kero.
Bakwata wamefuata nyayo za TFF...Bakwata inatakiwa ijitenge na sisiemu.
Mbona hapa magomeni wanaswali eid el fitr?Huu ni upekee mwingine wa Taifa letu katika kuendesha Mambo. Leo Waisalam Dunia nzima wanasherehekea kummalizika kwa Ramadan!
Lakini hapa Tanzania mwezi haukuandama hivyo Idd ni kesho!
Idd Mubaraka!
Din yenu ya ajabu sana...Acha kupotosha wapi mwezi umeonekana hapa TANZANIA? Kenya wao EID ni leo? Somalia, COMMORO nk acha unafiki. DINI YETU HAITAKI UNAFIKI.
FUNGENI AU FUNGULIENI KWA KUONA MWEZI.
Weka Picha.Mbona hapa magomeni wanaswali eid el fitr?
Wewe dini yako si hua siku ya sikukuu unapangiwa na Mzungu.Din yenu ya ajabu sana...
kwani mwezi umeuona? kama mmechoka kufunga semeni ili tuongee na muft alegeze masharti! kwa wanaofuata dini hata ungewaambia wafunge hadi wiki ijayo wasingeona shida, shida inakuja kwa wafuata mkumbo, wanaona taabu kwelikweli kufunga.Huu ni upekee mwingine wa Taifa letu katika kuendesha Mambo. Leo Waisalam Dunia nzima wanasherehekea kummalizika kwa Ramadan!
Lakini hapa Tanzania mwezi haukuandama hivyo Idd ni kesho!
Idd Mubaraka!
Kwani shehe Ponda leo anakula sikukuu?Bakwata inatakiwa ijitenge na sisiemu.
Yaani nikawapige picha watu wamesujudu?!!Weka Picha.
Wewe unataka uwapige picha wakati wanafanyaje?Yaani nikawapige picha watu wamesujudu?!!
Wanajengewa makao makuu na misikiti nchi nzima, watajitengaJe kwa mfano ?!Bakwata inatakiwa ijitenge na sisiemu.