EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,524
Eid Mubarak.
Nichukue fursa hii kuwanasihi waislam kuwa zile tabia njema na mavazi ya staha mliyoyaonesha wakati wa kipindi cha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ranadhani zisiishie leo bali ziwe sehemu ya utamaduni wenu.
Sio muanze kujaza gest, na kuvaa mavazi ya uchi kisa mwezi umeisha, mkifanya hivyo mtakuwa mnajifanyia unafki nafsi zenu.
Msikaribie kabisa yale mabucha yetu
Sherehe njema
Nichukue fursa hii kuwanasihi waislam kuwa zile tabia njema na mavazi ya staha mliyoyaonesha wakati wa kipindi cha mfungo wa mwezi mtukufu wa Ranadhani zisiishie leo bali ziwe sehemu ya utamaduni wenu.
Sio muanze kujaza gest, na kuvaa mavazi ya uchi kisa mwezi umeisha, mkifanya hivyo mtakuwa mnajifanyia unafki nafsi zenu.
Msikaribie kabisa yale mabucha yetu
Sherehe njema