Ni mkazi wa kijiji gani,wilaya na mkoa gani?
Kijana mmoja hapa kijijini ameweza kufungua rasmi mtandao (NETWORK) wake wa simu ambao unaweza kutumiwa kata nzima.Hakuna cha vocha wala nini ..jamaa anatumia dish la DSTV hii kali .Je serikali haitamkataza hii huduma.?
Sijaelewa...
Ni mkazi wa kijiji gani,wilaya na mkoa gani?
Kijana mmoja hapa kijijini ameweza kufungua rasmi mtandao (NETWORK) wake wa simu ambao unaweza kutumiwa kata nzima.Hakuna cha vocha wala nini ..jamaa anatumia dish la DSTV hii kali .Je serikali haitamkataza hii huduma.?
huyu kijana anataka kuhatarisha usalama wa nchi kataza kabisa hii ujuzi hapa tz bongo..
mfuatilie tu utamuelewa..