Leo ndiyo siku aliyouawa Malcolm X

Mohamed Said

JF-Expert Member
Nov 2, 2008
20,912
30,253
LEO NDIYO SIKU ALIYOULIWA MALCOLM X

MALCOLM X alikuwa hero wangu toka udogoni na nimekisoma kitabu cha maisha yake alichoandika Alex Hailey nikiwa na miaka labda 15/16.

Nilipofika New York nimekuta ndiyo wiki kitabu chake alichoandika Manning Marable, ''Malcolm X Life of Reinvention,'' ndiyo kimetoka na kwa bahati mbaya mwandishi alikufa wakati anakaribia kufanya uzinduzi wa kitabu hiki.

Nilikinunua kitabu hiki katika duka maarufu la vitabu Marekani, Barnes and Nobles sehemu za Manhattan.

Halikadhalika nikamuomba mwenyeji wangu anipeleke Harlem 125 Street mitaa aliyokuwa akivinjari Malcolm X wakati wake katika miaka ya 1950/60.

Nililiona lile jumba Audobon Ballroom ambamo Malcolm X alipigwa risasi.
MALCOLM BOOK.jpeg
 
Namkubali Sana Malcom X kwa falasafa zake na misimamo yake pia
Alipambana Sana kuwatetea watu weusi America ,,
Hongera Sana mkuu kwa bandiko hili umenikumbusha history wakati nikiwa high school
MALCOM X
MARCUS GURVEY
WILLIAM SYLVESTER
WILLIAM DUBOIS
MARTIN LUTHER KING JUNIOR



Dah!!!!!! Aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya vichwa muhimu sana katika civil rights movements, black nationalism na Pan-African movements.
 
Hazikuiva kabisa na Martin Luther King, licha ya wote kuwa wanaharakati wa kumtetea mtu mweusi
 
Kuna documentary mpya imetoka sio muda mrefu iko Netflix, imetengenezwa na one of the prominent NYC based historians, Abdul-Rahman Muhammad.
Ni documentary nzuri sana
Ukipata muda itazame na itakupa picha ni nani alimuua brother Malcolm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom