FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,845
- 40,433
Adolf Hitler japo alikuwa ni katili wa kutupa, bado alionyesha huruma na akili ya hali ya juu sana katika kuwaangamiza maadui au wale ambao hakuwahitaji katika jamii.
Kwanza alipowakamata watu aliwapeleka katika makambi kwa ajili ya kuchuja ili kuona yupi anafaa katika uzalishaji na yupi hafai,wale waliofaa waliendelea na shughuli za uzalishaji mali, na wale wasiofaa ndio walitengwa kwa ajili ya kuangamizwa.
Katika kuwaangamiza Adolf Hitler aliwadanganya kwamba wanaenda kuoga kwenye mabafu maalum ya kuogea (ili kuwaondolea phsychological torment ya kujua kwamba unaenda kufa), walipoingia kwenye mabafu, badala ya kutoka maji ilitoka gesi maalum kwa ajili ya kuwafanyia Euthanasia, ambapo baada ya kufariki miili ndio ilienda kuteketezwa kwa moto, hakuwachoma moto wakiwa hai.
Cc: wachomaji wa vifaranga hai
Kwanza alipowakamata watu aliwapeleka katika makambi kwa ajili ya kuchuja ili kuona yupi anafaa katika uzalishaji na yupi hafai,wale waliofaa waliendelea na shughuli za uzalishaji mali, na wale wasiofaa ndio walitengwa kwa ajili ya kuangamizwa.
Katika kuwaangamiza Adolf Hitler aliwadanganya kwamba wanaenda kuoga kwenye mabafu maalum ya kuogea (ili kuwaondolea phsychological torment ya kujua kwamba unaenda kufa), walipoingia kwenye mabafu, badala ya kutoka maji ilitoka gesi maalum kwa ajili ya kuwafanyia Euthanasia, ambapo baada ya kufariki miili ndio ilienda kuteketezwa kwa moto, hakuwachoma moto wakiwa hai.
Cc: wachomaji wa vifaranga hai