Mr mgeni
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 1,222
- 803
Habari zenu wana JF,
Najisikia faraja ila kwa upande mwingine ni simanzi, baada ya mikimiki na kujibana kibajeti nimefanikiwa kununua Bodaboda mpya leo hii. Nilipofika nayo tu nyumbani nikamwambia mke wangu, chombo chetu hiki sasa sipigi dei waka na pikipiki za watu aiseeee! Alifurahi sana na kunikumbutaia nikasikia "Nakupenda sana mme wangu" sikuwahi kusikia akiniambia hilo neno hata siku moja nikawa na walakini!Mmmhh miaka 3 yote ya ndoa leo ndo ananiambia ananipenda, kweli mapenzi pesa.
Nanyie msiwe wachoyo bana nipeni pongezi za dhati.
Siku njema nawapenda wote wana JF.
Najisikia faraja ila kwa upande mwingine ni simanzi, baada ya mikimiki na kujibana kibajeti nimefanikiwa kununua Bodaboda mpya leo hii. Nilipofika nayo tu nyumbani nikamwambia mke wangu, chombo chetu hiki sasa sipigi dei waka na pikipiki za watu aiseeee! Alifurahi sana na kunikumbutaia nikasikia "Nakupenda sana mme wangu" sikuwahi kusikia akiniambia hilo neno hata siku moja nikawa na walakini!Mmmhh miaka 3 yote ya ndoa leo ndo ananiambia ananipenda, kweli mapenzi pesa.
Nanyie msiwe wachoyo bana nipeni pongezi za dhati.
Siku njema nawapenda wote wana JF.