USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,663
Ni kawaida yenu kutafuta vijisababu vya kutafuta huruma eti mnaonewa mwaka Jana mlizingua sana mpaka mipasho kule bungeni mwaka huu mjiongeze
Wanajf
Tangazo la mwisho wa kurudisha tamko la mali za viongozi kwa mujibu wa sheria linawataka viongozi wote wa umma watoe tamko hilo na leo ndio leo msururu umeanza mapema SAA 12 kasoro idadi ni kubwa ila najua bado watakuwepo ambao mpaka mijeredi ndio watoe na wengine waseme tamko limepotea ili kutengeneza kiki
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajf
Tangazo la mwisho wa kurudisha tamko la mali za viongozi kwa mujibu wa sheria linawataka viongozi wote wa umma watoe tamko hilo na leo ndio leo msururu umeanza mapema SAA 12 kasoro idadi ni kubwa ila najua bado watakuwepo ambao mpaka mijeredi ndio watoe na wengine waseme tamko limepotea ili kutengeneza kiki
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app