Leo ndio leo wallahi kua uyaone,,,,

Nguvu moja

JF-Expert Member
Oct 20, 2017
3,371
2,712
Nimemshuhudia jamaa, akiingia guest na mke wa mtu, mbaya zaidi mke wa jamaa anaeibiwa ana, mtoto wa miaka 3, wote watatu mke wa mtu, mtoto na kaka kibaka wa mke wa mtu, wameingia chumbani ndani guest house, hata kama wanagegedana kitoto kina angalia masikiniii! hii live mbagala maji matitu.
 
Sad...huyo mtoto maisha yake yanaharibiwa.ulichotakiwa mdau ni kuripoti hilo tukio sehemu husika kumsaidia huyo mtoto..
 
951a0a235dce899d12ab21a8e941c460.jpg
 
Back
Top Bottom