1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 437
- 1,745
Waja wa mwenyezi mungu USM Algeria, walioruzukiwa dini ss hv wametulia na familia zao wanajiandaa kwenda kuchinja ingawa sio siku ya kuchinja, ila imetokeq t bahati mbaya, lazima wamchinje t yanga.
Wana wachezaji 3 ambao mechi ya awali they did not play at all.
Kusema Yanga wawafunge mabao 2 0 kwenye ardhi ya mwenyezi mungu ni uongo na utoto wa asbh.
Kusema Yanga icheze kwa kushambulia huku mabeki wao wabovu ambao Leo ndio watajua kuwa hawajui bila mcha mungu USM asipate migoli sio kweli
Zile nafasi walizokuwa wanazipata Marumo Gallants kule afrika kusini wakazichezea, mwarabu au mcha mungu namba moja hafanyi makosa
Yaan kombe liwe uwanjani waarabu wameliona halaf wewe mswahili ukalichukue ili sisi tukose usingizi huku kwa mikelele yenu, thubutu.
Mcha Mungu 5 Yanga 0
Wana wachezaji 3 ambao mechi ya awali they did not play at all.
Kusema Yanga wawafunge mabao 2 0 kwenye ardhi ya mwenyezi mungu ni uongo na utoto wa asbh.
Kusema Yanga icheze kwa kushambulia huku mabeki wao wabovu ambao Leo ndio watajua kuwa hawajui bila mcha mungu USM asipate migoli sio kweli
Zile nafasi walizokuwa wanazipata Marumo Gallants kule afrika kusini wakazichezea, mwarabu au mcha mungu namba moja hafanyi makosa
Yaan kombe liwe uwanjani waarabu wameliona halaf wewe mswahili ukalichukue ili sisi tukose usingizi huku kwa mikelele yenu, thubutu.
Mcha Mungu 5 Yanga 0