leo nawapa vidonge vyenu mkimeza mkitema mtajijuu!!

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,313
2,646


hivi mnataka mpewe vidonge gani ndiyo mtambue kuwa mie nimekufa nakujiozea kwa Mamndenyi ?shukuran pekee kwa mweto Mwita Maranya kwa kuniachia kijiti nami nikisongeshe mbele,

ifahamike kuwa mimi sio wa kwanza na sinto kuwa wa mwisho ila kwa mapenzi yake naweza nikapiga kambi ya kudumu,
copy kwa waharibifu woote Mr Rocky Vin Diesel na nduguze Arushaone na daddy Bishanga aliyepo kule murushaka hivyo napenda kudumisha chama cha chit-chat pia zidumu na milele fikra sahihi za mwenyekiti Baba V na mshauri wake mkuu Mama v


kwa mara ya pili leo natupa tena ndoana yangu kwa kipenzi Mamndenyi hodiiiiiiiiii:heh:i !!!
 
Last edited by a moderator:
Hii siku sasa tuite ni nzuri kwa ama mbaya kwake Mamndenyi maana naona tangu jana mapema hili jina linakatiza kila eneo, naye nadhani hata kama leo ameingia humu nazani amengia kama geust, vinginevyo duh. Hongera dada naona wazee wanagongana kwa gear kubwa, maana hata waliojitoa jana sio kwamba hawapendi, la hasha mtu mzima amepima akoana duh hapa no acha nisepe nirudi nyumbani pa zamani.

cc kaka Mwita Maranya
 
Last edited by a moderator:
Hii siku sasa tuite ni nzuri kwa ama mbaya kwake Mamndenyi maana naona tangu jana mapema hili jina linakatiza kila eneo, naye nadhani hata kama leo ameingia humu nazani amengia kama geust, vinginevyo duh. Hongera dada naona wazee wanagongana kwa gear kubwa, maana hata waliojitoa jana sio kwamba hawapendi, la hasha mtu mzima amepima akoana duh hapa no acha nisepe nirudi nyumbani pa zamani.

cc kaka Mwita Maranya

mKUU Lyagwa yani we acha tu, umenikumbusha wimbo wa magwiji wa muziki wa dance nchini... nakupa talaka kwa shingo upande...
 
Last edited by a moderator:
mKUU Lyagwa yani we acha tu, umenikumbusha wimbo wa magwiji wa muziki wa dance nchini... nakupa talaka kwa shingo upande...

Ndivyo yalivyo mapenzi ndg yangu Mwita Maranya ila kwa kuwa yanatokea kwa watu wazima kama wewe unaya handle kikubwa vile vile, maana kwa watoto wadogo ungesikia vileo mara oh unajua zilikwenda zikarudi nk.

Wimbo wa wakongwe wa mziki msondo ngoma enzi hizo chini ya Maalimu Muhidin Ngurumo, marehemu Tx Moshi W, Seleman Mbwebwe, Gitaa la mtani wangu na mzee wangu Mabela, hakika una haki ya kukumbuka huko kaka. Heko kwa Mungu kwa kumuumba jinsi alivyo Mamndenyi popote pale ulipo salamu sana.
 
Last edited by a moderator:
mKUU Lyagwa yani we acha tu, umenikumbusha wimbo wa magwiji wa muziki wa dance nchini... nakupa talaka kwa shingo upande...

Ndivyo yalivyo mapenzi ndg yangu Mwita Maranya ila kwa kuwa yanatokea kwa watu wazima kama wewe unaya handle kikubwa vile vile, maana kwa watoto wadogo ungesikia vileo mara oh unajua zilikwenda zikarudi nk.

Wimbo wa wakongwe wa mziki msondo ngoma enzi hizo chini ya Maalimu Muhidin Ngurumo, marehemu Tx Moshi W, Seleman Mbwebwe, Gitaa la mtani wangu na mzee wangu Mabela, hakika una haki ya kukumbuka huko kaka. Heko kwa Mungu kwa kumuumba jinsi alivyo Mamndenyi popote pale ulipo salamu sana.
 


hivi mnataka mpewe vidonge gani ndiyo mtambue kuwa mie nimekufa nakujiozea kwa Mamndenyi ?shukuran pekee kwa mweto Mwita Maranya kwa kuniachia kijiti nami nikisongeshe mbele,

ifahamike kuwa mimi sio wa kwanza na sinto kuwa wa mwisho ila kwa mapenzi yake naweza nikapiga kambi ya kudumu,
copy kwa waharibifu woote Mr Rocky Vin Diesel na nduguze Arushaone na daddy Bishanga aliyepo kule murushaka hivyo napenda kudumisha chama cha chit-chat pia zidumu na milele fikra sahihi za mwenyekiti Baba V na mshauri wake mkuu Mama v


kwa mara ya pili leo natupa tena ndoana yangu kwa kipenzi Mamndenyi hodiiiiiiiiii:heh:i !!!


nilijua vidonge vya mabusha na matende toka kwa dada yake le mutuz bana kumbe ni umbea khaa..
 
Last edited by a moderator:


hivi mnataka mpewe vidonge gani ndiyo mtambue kuwa mie nimekufa nakujiozea kwa Mamndenyi ?shukuran pekee kwa mweto Mwita Maranya kwa kuniachia kijiti nami nikisongeshe mbele,

ifahamike kuwa mimi sio wa kwanza na sinto kuwa wa mwisho ila kwa mapenzi yake naweza nikapiga kambi ya kudumu,
copy kwa waharibifu woote Mr Rocky Vin Diesel na nduguze Arushaone na daddy Bishanga aliyepo kule murushaka hivyo napenda kudumisha chama cha chit-chat pia zidumu na milele fikra sahihi za mwenyekiti Baba V na mshauri wake mkuu Mama v


kwa mara ya pili leo natupa tena ndoana yangu kwa kipenzi Mamndenyi hodiiiiiiiiii:heh:i !!!


baibe kiwatengu njoo ona wanavyomfanya mama yako huku ka mpira wakona we Slave baraka za wanawe umepata au uanaiba tu. Mamndenyi hana shida ndogondogo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom