Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,313
- 2,646
hivi mnataka mpewe vidonge gani ndiyo mtambue kuwa mie nimekufa nakujiozea kwa Mamndenyi ?shukuran pekee kwa mweto Mwita Maranya kwa kuniachia kijiti nami nikisongeshe mbele,
ifahamike kuwa mimi sio wa kwanza na sinto kuwa wa mwisho ila kwa mapenzi yake naweza nikapiga kambi ya kudumu,
copy kwa waharibifu woote Mr Rocky Vin Diesel na nduguze Arushaone na daddy Bishanga aliyepo kule murushaka hivyo napenda kudumisha chama cha chit-chat pia zidumu na milele fikra sahihi za mwenyekiti Baba V na mshauri wake mkuu Mama v
kwa mara ya pili leo natupa tena ndoana yangu kwa kipenzi Mamndenyi hodiiiiiiiiii:heh:i !!!
Last edited by a moderator: