Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,926
Nimechoka kula wali ugali ndizi tambi nk nimeamua kujaribu vyakula vipya kabisa vitakavyonipa ladha mpya. Nimeanza na majongoo Yale makubwa meusi. Nitayala kwa mfumo wa kuyakaanga kwenye mafuta. Nitawekea picha.
Mungu nisaidie.
View attachment 1722554
Mungu nisaidie.
View attachment 1722554