Kama nilivy anza hapo, naomba tupeane muongozo au tujuzane kuhusu Radio Transmitter kwa undani haswa namna ya kuipata na gharama zake na ukubwa karibu kwa maoni na mchango wako.
Radio transmitter zinauzwa kulingana na coverage ambayo bei hutegemea uwezo wa transmitter ku cover eneo la square kilometers ngapi mfano 25km² nk nk.
Ukitaka kuextend coverages unatumia repeaters ni vifaa ambavyo vina extend radio waves kutoka katika transmitter yako na kufanyia modulation hadi eneo unalotaka ku cover tena.
Radio waves Repeaters pia zinategemea na coverage area unalo taka ku cover....
So to conclude bei za transmitter na repeaters hutegemea unataka ku cover area ya ukubwa gani...
kwa maulizo zaidi na kufunguliwa radio station ya kisasa check me Partager sur WhatsApp.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.