Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
wamemaliza apetaiti yangu
Usijali tutanunua nyingine kwa machingaz!
wamemaliza apetaiti yangu
Usijali tutanunua nyingine kwa machingaz!
Za wachina zitawafaa zaidi
We ulivyoleta hii thread ulikua na malengo gani? ulitakawatu wachangie nn? na Mumeo ni member huku au? kama sio member ujumbe angeupataje?
My 1st lady
huwezi kumpenda
1. Burn-mdomo wake haufungi
2. Masanilo -anakojoa hovyo kwenye miba
3. Chrispin-utapeleka wapi mwanariadha?
4. Fidel81 skeleton/huyo ni wa life after death
unaweza kumpenda
nguli-is serious n i know u lav a man who takes charge
sasa kama ni member si uweke tu adharani watu waelewe kama ni Masanilo we sema tu hakuna ubaya! wengine wote watakaa kimya!NILIMAANISHA KWA YEYE MME WANGU ...NA NDO MAANA NIKAILETA HAPA NA YUKO HAPA ANASHANGAA TU KUONA HIZI NJEMBA ZILIVYO NA MAKASHESHE ..
jamani mie naenda kupumzika aaah mmenichosha
sasa kama ni member si uweke tu adharani watu waelewe kama ni Masanilo we sema tu hakuna ubaya! wengine wote watakaa kimya!
Umeishawahi fikiria kwenda iba gerezani? I cheat a lot with gals, ndo maana wananizimia....kuna demu nilimwambia wewe mtamu kuliko mademu wote niliwahi waona...sikumbuki kilichofuata.....
Kwa kweli nahisi kumpenda FL, niko tayari kumpa Moyo wangu! mimi nitatumia figo
Mpwa I meant to give her my sweet heart and one of the Kidney to replace it ....Mpwa fiGo na tiGo havina uhusiano.
sasa kama ni member si uweke tu adharani watu waelewe kama ni Masanilo we sema tu hakuna ubaya! wengine wote watakaa kimya!
...duh, sijui lini BJ atarudi likizo!
Una akili sana wewe! Mkuu nikupe mjini gani? Umepatia kabisa
Mpwa usisahau ulishaomba tigo, ukatolewa nje. Sasa umejitolea figo na bado hujajibiwa.
nalia pole nalia pole sana eeeh sikujua kama yatakuwa makubwa hivi
Chrispin ni lini utakuwa ?? ni lini utakuwa serious weye ?????
Una akili sana wewe! Mkuu nikupe mjini gani? Umepatia kabisa
Aseme mara ngapi mkuu, wakati alishasema muda mrefu kuwa ni MIMI.
usiogope my darling wewe na mimi mpaka mwisho wa nyakati..wananionea wivu sana mimi kuwa na wewe kama my wife wangu..tulia tuzae mtoto wa pili ndo washangae
Akikubali Figo ujue na tiGo haipo mbali....