Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
aaaah hivi mnajua nimepigwa butwaa sikumaanisha hivi jamani was really serious nyie mnadhani joke
No wonder huwa hujibu PM na hata simu za strangers hupokei..
aaaah hivi mnajua nimepigwa butwaa sikumaanisha hivi jamani was really serious nyie mnadhani joke
aaaah hivi mnajua nimepigwa butwaa sikumaanisha hivi jamani was really serious nyie mnadhani joke
Aaaaaannh, Mungu wanguuuu, yani my wife kumbe unamahusiano ya siri na wanaJF wenzangu??, leo siri imefichuka khaaa, ndio maana naona wengi humu wananipa mabifu kumbe kwa sababu yako my wife wangu?, hakyanani NTAUA MTU. Inaniuma sana mpaka Kigogo na Burn nao ndani ya nyumba kwa my wife??
umeyataka mwenyewe subiri akina Fidel masanilo na next leve hao ndo watalia kabisa utadhani umelala nao
Hao wengine wababaishaji. Ndio wale waliokuanza kabla sijakutana na wewe nikaamua kukuoa. Achana nao. Ni mimi na wewe daima.
Mimi aliishanitolea nje ananihisi ni mdau wa tiGo!
pole lakini kwenye avatar yako umesema kuwa Masanilo is Alcohilic kweli unaweza kuwa hivyo jisafishe kwanza ndo uende kwa fisrt lady
nalia pole nalia pole sana eeeh sikujua kama yatakuwa makubwa hivi
Chrispin ni lini utakuwa ?? ni lini utakuwa serious weye ?????
nalia pole nalia pole sana eeeh sikujua kama yatakuwa makubwa hivi
Chrispin ni lini utakuwa ?? ni lini utakuwa serious weye ?????
Ndugu yangu nadhani napenda pombe zaidi halafu akina first ladies wanafuata!
Sasa fanya hivi, badilisha hiyo avatar yako, uweke ya firstlady wa awamu ya tatu, uone kama utasumbuliwa tena na hawa wakware.
Yeah, thats why nimekwambia I luv you too darling
Think twice FL1, bado sijakata tamaa....hebu soma hilo shairi kwenye PM yako....
no komenti hapo kwenye bold, ila nadhani kijana unahitaji kununua msuli maana naelekea Kilwa kufundisha adabu, ili ujue mke wa mtu ni sumu.
Love you too darling. Can't live without you. Umenikumbusha mbali kweli, siku ile nilipokuona kwa mara ya kwanza, moyo wangu uliongeza kasi ya mapigo. Nilijiuliza ntakutokeaje, na je nikipata ujasiri wa kukutokea halafu ukanikatalia ingekuwaje.
Nashukuru hukuniangusha. Japokuwa sikukukuta bikira, lakini sikujali. Hao walionitangulia hawanibabaishi. Najua hawana nafasi kabisa katika moyo wako. Walikuwa wanajifunza tu darling. Ntakupenda daima. Sitakuangusha.
Luv u my carpet and ceiling board.
Chris.[/QUOT
mhhhh..........
Tumesoma pamoja na shemeji yako, nadhani bado unahitaji darasa hayo maneno yako unaweza kumnasa binti wa form two au three kwa wifey wangu huwezi fanikiwa, kuhusu tigo usitie shaka wenyewe twajifaidia tu ndani kwa ndani.
Think twice FL1, bado sijakata tamaa....hebu soma hilo shairi kwenye PM yako....
umeyataka mwenyewe subiri akina Fidel masanilo na next leve hao ndo watalia kabisa utadhani umelala nao