S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,587
- 32,664
Basi mturuhusu kuongeza mke 😊Nyie wachache wenye Tabia hiyo msiwajumlishe wenzenu
Huwa mnashangaza na hicho kigezo Cha mahitaji yote.
Kwa hiyo kwa kuwa mwanamke Ana uhakika wa kula kulala n.k. Basi atulie tu? Alifuata hivyo? Kabla yako hayo mahitaji hakuwa anayapata hata Kama si kwa kiasi unachompa wewe?
Nadhani mkitaka wanawake wa hivyo ni wale wanaodanga, wapo after money na Mambo yao yaende mengine hawajali.
Ila wanawake wanaojua umuhimu na maana ya ndoa na wanawapenda kwa dhati hawawezi kukaa kimya mwanaume unapokosea