Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Vipi mkuu?
Vipi mkuu?
Tema Mate chini...wachaga wapondeni sekta zingine sio JIKONIMafuta kibao, kuna radha kweli hapo? Mkeo ni mchagga nini, maana wao kupika ni ziro kabisaaaa.
Mkeo atakuwa mnaija,hii ni Nigerian assorted meat stew
Mkeo atakuwa mnaija,hii ni Nigerian assorted meat stew
Wanigeria kwa kuchanganya nyama nimeona mapishi ya ogbono soup mmetiwa samaki nyama na kuku same dish 🤣🤣🤣
[/QUOTE
Wanigeria kwa kuchanganya nyama nimeona mapishi ya ogbono soup mmetiwa samaki nyama na kuku same dish 🤣🤣🤣
We acha kabisa , ,mie wameniweza kwenye jollof rice tuu
Hata kwangu ni ivo ivo msosi unaisha fasta ,izo bay leaves bongo wazipata wapi?Nimepika jana 🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 1141359 leo wamemalizia nimebakishiwa ukoko 🤣🤣🤣
Hata kwangu ni ivo ivo msosi unaisha fasta ,izo bay leaves bongo wazipata wapi?
Sijui bongo zinapatikana wapi
Mimi ata kama nasafiri au nitoka naenda kwa watu najua lazima nipike kuna viungo huwa nabeba kabisa
InaumaMe najuta nyumbani sijakuchukua curry leaves upo mti mzima huku wanauza 🤣🤣
Muulize vizuri kama anakupenda