Leo Kutakuwa na INTERVIEW>>>>>>>>

Halloo MMU fans,

Naomba kuchukua time hii kuwajulisha,
leo jioni kuanzia saa kumi na moja tutakuwa na interview hapa
jamvini.

Naomba nisiwape topic kwa wakati huu kwani inaweza kuvuja
mapema.

Wageni wetu leo ni wawili wa nguvu

1. watu8
2. Heaven on Earth...


Nawakaribisha sana.

Uran..

CC; shansarie, Nambe,
tupo south kwa madiba mkuu.
 
Last edited by a moderator:
jamani mda hauend maana na mzuka na hiyo interview..dah hebu tusubili tuone....
 
Join Date : 11th November 2013
Posts : 196
Rep Power : 30910
Likes Received 69
Likes Given 32
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom