Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Wadau, asubuhi hii kunamvuanyingi maeneo ya Kata za Pugu, Kitunda, Kipawa, Ukonga na gongolamboto, sijui maeneo ya katikati ya jiji yakoje. Natoa tahadhari kwa madereza wa magari kuwa waangarifu kwani naona magari yanakosa njia. Nimeshuhudia gari aina na Suzuki nyeupe imaanguka kwenye mtaro-ukonga kilimani. Tupeane update. Ciao.