Hiyo ni mikakati mizuri ya ushindi cku zote ushindi wetu hutoka nje ya mji kama ilivyokuwa Igunga. CDM jifarijini tu kwa watu kutoka Arusha mjini but Sunday mapema kweupe CCM kuchukua jimbo
mana kesho boda boda wameapa bora walale na njaa sababu hesabu imefungwa leo kesho wote wapo kwao(chadema) magamba yameogopa kuaibika hayo yametimkia vichochoroni baadae wataenda kia kusubir matokeo uwanja wa ndege maana huku hali ni mbaya jaman