Uchaguzi 2020 Leo kampeni zinaanza, CCM wanaona aibu kufanya kampeni peke yao?

Mi nampenda sana Magufuli kwa uthubutu wake ktk mambo mengi,LAKINI ktk hili la uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa HAPANA,muheshimiwa rahisi mbona unakandamiza sana upande wa pili?? In any Democratic country any election should be competitive, and all political parties should have fair and conducive environment to conduct their election campaigns, Mr President think more than twice about state of the nation and political future of this peaceful and united poor country.
Aliyekataza vyama vya siasa kushiriki uchaguzi siyo Rais bali aliyetoa tangazo tarehe 07.11.2019 ndo amevipiga pini vyama vya watu fulani wajanja kushiriki uchaguzi. Kushiriki au kutoshiriki uchaguzi is also a democracy.
 
Back
Top Bottom