Kwa habari nilizonazo, Leo JK yupo Kilosa mkoani Morogoro kuwafariji wahanga wa mafuriko. Pinda alianza yeye anafuatia!
Pia soma
Pia soma
Pinda kukagua mafuriko Kilosa
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda leo mchana (Ijumaa, Januari 8, 2010) anatarajiwa kufanya ziara ya siku moja katika wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro kukagua athari za mafuriko na jitihada ambazo Serikali imefanya hadi sasa ili kuwasaidia waathirika wa maafa hayo. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na...
www.jamiiforums.com
Serikali ya Libya yajitokeza Kusaidia Athari Za Mafuriko Kilosa kuwajengea Nyumba 200
Ndugu zanguni wana JF nilikuwa ninaperuzi kwa Michuzi nimekutana na habari hii Serikali ya Libya yajitokeza kusaidia Athari za mafiriko kilosa kuwa itawajengea nyumba 200 waathirika zenye thamani ya shilingi 1.5 bilioni. Nikajiuliza serikali hii iliyosaidiwa imegharimika kumjengea mtu mmoja...
www.jamiiforums.com
Wahanga na Waathirika wa Mafuriko na Makanisa na Misikiti Yetu
Wakuu, Hivi tunafanya nini Makanisani na Misikitini kwetu katika kuwasaidia Watanzania wenzetu waliokumbwa na kuathiriwa na mafuriko makubwa hasa huko Kilosa na Dodoma?
www.jamiiforums.com