Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 2,926
- 3,054
Mimi niliajiriwa mwaka 2013 na nilipofika halmashauri (Kasulu) tulipewa pesa ya kujikimu palepale ndipo tukapelekwa vituoni.
Lakini leo hii waajiriwa wanakaa miezi kadhaa bila kupewa pesa ya kujikimu. Matokeo yake wanapigwa danadana na kuambiwa waombe ruhusa ya kurudi makwao mpaka pesa ya kujikimu itakapotoka.
Wengine wanaambiwa mfumo wa kulipa umegoma...n.k.
Mpaka leo waajiriwa wa julai hawajalipwa pesa ya kujikimu na wengi wao hawajapata mshahara.
Lakini serikali kila muda inajidai inajari watumishi.
Hivi ni kweli waziri wa TAMISEMI yupo serious?
Lakini leo hii waajiriwa wanakaa miezi kadhaa bila kupewa pesa ya kujikimu. Matokeo yake wanapigwa danadana na kuambiwa waombe ruhusa ya kurudi makwao mpaka pesa ya kujikimu itakapotoka.
Wengine wanaambiwa mfumo wa kulipa umegoma...n.k.
Mpaka leo waajiriwa wa julai hawajalipwa pesa ya kujikimu na wengi wao hawajapata mshahara.
Lakini serikali kila muda inajidai inajari watumishi.
Hivi ni kweli waziri wa TAMISEMI yupo serious?