Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,114
- 35,118
Ni miaka isiyopungua tisa sasa toka sakata la uchimbaji wa gesi ya Mtwara lilipoibuka hapa Tanzania. Matumaini yalikuwa makubwa, mbwembwe kibao, nguvu ikatumika na watu kupoteza maisha ili gesi itoke Mtwara.
Kuna kitu mpaka sasa nimeshindwa kukielewa kuhusu gesi ya Mtwara, nacho ni Ukimya. Ukimya ni mkubwa na hakuna kiongozi yoyote wa serikali iliyopo madaraka na iliyopita inayejitokeza kulizungumzia. Na hakuna chombo chochote cha habari kinachotupa updates au kumbukumbu ya gesi ya Mtwara.
Nini kinaendelea kuhusu gesi ya Mtwara?
Kuna kitu mpaka sasa nimeshindwa kukielewa kuhusu gesi ya Mtwara, nacho ni Ukimya. Ukimya ni mkubwa na hakuna kiongozi yoyote wa serikali iliyopo madaraka na iliyopita inayejitokeza kulizungumzia. Na hakuna chombo chochote cha habari kinachotupa updates au kumbukumbu ya gesi ya Mtwara.
Nini kinaendelea kuhusu gesi ya Mtwara?