Kumbe mnarogeka..!!Itakua aibu ya kufa mtu, watani wetu tuliwagaragaza kule Misri, leo pia wanapokea kichapo tena kwao nyumbani uwanja wa taifa.
Labda waitwe warogi wa Sumbawanga waje kufanya yao.
Droo acha tukafie kwao
Hilo lako mwenyewe sisi wana demokrasia tusilazimishane mimi kwangu ni timu ya taifaLitimu la Makonda hilo sio la Taifa
Hilo lako mwenyewe sisi wana demokrasia tusilazimishane mimi kwangu ni timu ya taifa
Sawa sisi nchi ya demokrasia tunasema ameen hayo ni maombi yako pia kwa miungu yakoSiku democrasia itafanikiwa Timu ikawa ya watanzania wote sio ccm wala makonda
Ushindi ni 100%
Huwezi shinda kinafiki
Sawa sisi nchi ya demokrasia tunasema ameen hayo ni maombi yako pia kwa miungu yako
Haya mungu wa ChademaMimi nawatanzania wote kwa Mungu aliehai
Nyinyi na ubaguzi wenu endelelee na miungu yenu ccm
Haya mungu wa Chadema
Halafu baada ya hapo wewe na familia yako unapata niniMtapigwa mpaka siku mtatubu nakujuwa kwamba timu niya watanzania.
Hivi Sumbawanga ni maarufu hadi huko Kenya?Itakua aibu ya kufa mtu, watani wetu tuliwagaragaza kule Misri, leo pia wanapokea kichapo tena kwao nyumbani uwanja wa taifa.
Labda waitwe warogi wa Sumbawanga waje kufanya yao.
Wameshafika hao si walikua wanazunguka kusaka mahindi na waganga wa tzHivi Sumbawanga ni maarufu hadi huko Kenya?
Mabango ya wanganga kutoka Sumbawanga na Tanga yametapakaa Kenya. Ndio image ambayo wakenya wanayo wakisikia jina Tz.Wameshafika hao si walikua wanazunguka kusaka mahindi na waganga wa tz
Unauliza wakati mpo proud sana kujitangaza? Hata mkenya ambaye hajatia mguu wake Tz anajua kuhusu wanganga kutoka Sumbawanga na Tanga. Waganga wenu wana hadi dawa ya kujiunga na freemason, na ilumminati!Hivi Sumbawanga ni maarufu hadi huko Kenya?