Lenovo P780: Smartphone yenye kukaa na chaji zaidi duniani

Sure kaka ndomana kuna umuhimu wa kuacha mazoea ya kufuata brand (majina) ya makampuni. Badala yake tutafute products zitakazotupa satisfaction na value for money.
 
Ni salama mkuu hasa ukijiunga na PayPal ambao wanahakikisha usalama wa pesa ya mnunuaji na muuzaji. Pia kama Ukiona product uliyotumiwa ina matatizo then unatarudishiwa fedha zako within 14 days. Usalama ni Mkubwa kaka kuna wadau wengi sana wameagiza products mbalimbali bila kupata shida yoyote
 
lakini users opinions kule gsmarena naona wengi wanacomplain ubora wa simu ni tatizo. . . .ingia ucheki
 
Kwenye komputer wao wanaongoza...
Umepata wapi hiyo takwimu kwamba kwenye computer wao wanaongoza?

Unajua unaweza kusema kitu kimoja tu uka discredit anything else you say kwa saab unaonekana kabisa you don't know what you are talking about.

Kama unaweza kukaa na smartphone kwa siku 3 bila kuichaji then this is the best thing.
Kukaa na charge siku 3 sio sababu ya kusema "this is the best thing." Hata zingekuwa siku kumi!

Charge sio kigezo pekee cha kutathminia simu.

Bei yake ni affordable ni Dollar 230
Bei yake ni affordable, affordable kwa nani???

Dollar 230 kwa Watanzania wengi sio affordable! Don't be out of touch.
 
Umepata wapi hiyo takwimu kwamba kwenye computer wao wanaongoza?

Unajua unaweza kusema kitu kimoja tu uka discredit anything else you say kwa saab unaonekana kabisa you don't know what you are talking about.

Kukaa na charge siku 3 sio sababu ya kusema "this is the best thing." Hata zingekuwa siku kumi!

Charge sio kigezo pekee cha kutathminia simu.

Bei yake ni affordable, affordable kwa nani???

Dollar 230 kwa Watanzania wengi sio affordable! Don't be out of touch.

Mkuu inaonekana wewe sio mfuatiliaji wa sales za komputer duniani. Lenovo ndio wanaoongoza kwa kutengeneza PC in the world. Ngoja nikupe data
 
Umepata wapi hiyo takwimu kwamba kwenye computer wao wanaongoza?

Unajua unaweza kusema kitu kimoja tu uka discredit anything else you say kwa saab unaonekana kabisa you don't know what you are talking about.

Kukaa na charge siku 3 sio sababu ya kusema "this is the best thing." Hata zingekuwa siku kumi!

Charge sio kigezo pekee cha kutathminia simu.

Bei yake ni affordable, affordable kwa nani???

Dollar 230 kwa Watanzania wengi sio affordable! Don't be out of touch.
Fuatilia mambo mkuu
 

Attachments

  • 1387958718901.jpg
    1387958718901.jpg
    29.9 KB · Views: 526
inaweza kuwa ni android inayokaa na chaji sana duniani ila simu inayokaa sana na chaji (atleast according to gsmarena) ni king wa simu ambaye siku zote kampuni za simu zinatamani kuwa kama yeye.

gsmarena_102.jpg
 
Lenovo inauza devices 4 kila SEKUNDE MOJA.
 

Attachments

  • 1387961278358.jpg
    1387961278358.jpg
    30.3 KB · Views: 440
  • 1387961299505.jpg
    1387961299505.jpg
    31.7 KB · Views: 419
inaweza kuwa ni android inayokaa na chaji sana duniani ila simu inayokaa sana na chaji (atleast according to gsmarena) ni king wa simu ambaye siku zote kampuni za simu zinatamani kuwa kama yeye.

gsmarena_102.jpg

Asante sana chief mkwawa. Nakukubali sana mkuu but according to http://www.smartprix.com/mobiles/nokia_lumia_1520_vs_lenovo_p780_8gb_-c1101b580hpf_11017fu3cp5.php inaonekana lenovo ina 55% longer talk time than Nokia lumia 1520 pia kumbuka battery ya hii lenovo P780 ni 4000mAh wakati ya hii Nokia ni 3400mAh. Hapo unaonaje mkuu. Lengo sio kubishana but kufikia conclusion nzuri na fair kwa kutumia facts.
 

Attachments

  • 1387962109144.jpg
    1387962109144.jpg
    25.8 KB · Views: 418
samsung anauza simu 13 (sio device sijaeka tablet wala computer) kwa kila sekunde.

nokia anauza simu 8 kila sekunde.

Ninakubaliana na hilo that's why nilicomment hapo juu kuwa Katika soko la hizi Smartphones list ipo hivi:
1. Samsung
2. Apple
3. LG
4. Lenovo
Chief kumbuka lenovo ni late comer kwenye smartphone businesses lakini ameweza kupaa sana. Anastahili pongezi nafikiri
 

Attachments

  • 1387962532961.jpg
    1387962532961.jpg
    39.1 KB · Views: 407
hii simu ni nzuri ilainatumia line 2 dah yani sipendi hii feature
 
Asante sana chief mkwawa. Nakukubali sana mkuu but according to Nokia Lumia 1520 vs Lenovo P780 (8GB) | SmartPrix inaonekana lenovo ina 55% longer talk time than Nokia lumia 1520 pia kumbuka battery ya hii lenovo P780 ni 4000mAh wakati ya hii Nokia ni 3400mAh. Hapo unaonaje mkuu. Lengo sio kubishana but kufikia conclusion nzuri na fair kwa kutumia facts.

kaka hatubishani tunaeka tu fact. mi mwenyewe home nina ecosystem ya lenovo kwenye upande wa pc.

hao jamaa ni vilaza (kwenye link ulionipa) kucompare cpu kwa clock speed si sahihi hapo ikanishtua. wanafanya tu mahesabu hawana benchmark.

kuwa na mah kubwa haina maana battery itakaa sana inabidi software pia iwe optimized ili kuifanya battery ikae sana.

mfano note 3 ina 3200mah ila iliscore masaa 75 n lumia 1520 ina 3400mah ila imescore masaa 107. tofauti ya 200mah imeleta tofauti ya masaa 32.

lenovo inatumia android ambayo ina true multitasking hivyo all time battery inakwenda inakua ngumu kushindana na windows phone ambayo haina true multitasking bali apps zinaresume tu.
 
inaweza kuwa ni android inayokaa na chaji sana duniani ila simu inayokaa sana na chaji (atleast according to gsmarena) ni king wa simu ambaye siku zote kampuni za simu zinatamani kuwa kama yeye.

gsmarena_102.jpg

Naona hujaweza kuyasoma hayo maandishi ya kitechnologia.
 
Ninakubaliana na hilo that's why nilicomment hapo juu kuwa Katika soko la hizi Smartphones list ipo hivi:
1. Samsung
2. Apple
3. LG
4. Lenovo
Chief kumbuka lenovo ni late comer kwenye smartphone businesses lakini ameweza kupaa sana. Anastahili pongezi nafikiri

kaka ujue kwenye computer lenovo alinunua part ya ibm ndio maana akapaa ghafla. sasa hivi ana hela nyingi tu. ila kwenye simu sasa hv anauza china tu na part za karibu na china sababu quality ya simu zake bado sana.

ndio maana kama unafatilia habari lenovo aliitaka nokia, aliitaka blackberry na kampuni nyenginezo ili kupata experience ya kutengeneza simu zenye quality kubwa.

wana potential ya kuwa big player ila kwa sasa bado.
 
Back
Top Bottom