seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Gazeti la CCM la Uhuru limetangulizwa kama chambo tu, CCM na Serikali wamelenga magazeti mengine, Siku wakifungia magazeti mengine watatumia kigezo mbona gazeti lao la CCM wamelifungia
Tangu lini kesi ya Mtoto wa Paka akapelekewa mtoto wa Paka
Gazeti la uhuru na CCM ni kitu kimoja
Ukiangalia kwa umakini, Kosa la gazeti la Uhuru ni dogo sana na la kuchekesha sana.
Kosa ni kunukuu maneno tofauti ya msemaji tena eti"Samia sitagombea Urais 2025"
Siku zijazo sitashangaa magazeti ambayo yaliminywa kwa miaka mitano yakaendelea kuminywa zaidi na Kufungiwa zaidi
Magazeti ya The Citizen,Mwananchi, Rai na Jamhuri yajiandae
Hii inaitwa attacking the enemy using the enemies weapons
Tangu lini kesi ya Mtoto wa Paka akapelekewa mtoto wa Paka
Gazeti la uhuru na CCM ni kitu kimoja
Ukiangalia kwa umakini, Kosa la gazeti la Uhuru ni dogo sana na la kuchekesha sana.
Kosa ni kunukuu maneno tofauti ya msemaji tena eti"Samia sitagombea Urais 2025"
Siku zijazo sitashangaa magazeti ambayo yaliminywa kwa miaka mitano yakaendelea kuminywa zaidi na Kufungiwa zaidi
Magazeti ya The Citizen,Mwananchi, Rai na Jamhuri yajiandae
Hii inaitwa attacking the enemy using the enemies weapons