GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Nilikuwa napitia maoni ya wana JF kuhusiana na matokeo ya igunga ambayo yamekipa ushindi chama cha ccm. Wengi wa wana chadema wanajipa moyo kuwa chama kilikuwa na hakina kitu na hivi sasa kimepata kura. Huu uchaguzi haukuwa wakutafuta idadi ya kura za vyama bali ni mbunge. Na kama ingekuwa kujua idadi ya kura mgetafuta njia zingine za kujua hilo.
Kwa maana hiyo basi, mambo yakusema tumepata kura halikuwa lengo lake, lengo nikumpata mbunge. Kama hukumpata mbunge ina maana hukutimiza lengo lako na huna sababu yakujisifu. Hizo ni kauli za kuliwazana tu humu ndani na kutiana moyo (kujifariji). Kubalini mmeshindwa kwenye uchaguzi huru na wa haki, jipangeni upya.
Kwa maana hiyo basi, mambo yakusema tumepata kura halikuwa lengo lake, lengo nikumpata mbunge. Kama hukumpata mbunge ina maana hukutimiza lengo lako na huna sababu yakujisifu. Hizo ni kauli za kuliwazana tu humu ndani na kutiana moyo (kujifariji). Kubalini mmeshindwa kwenye uchaguzi huru na wa haki, jipangeni upya.