Lengo lilikuwa ni Mbunge si kura

GeniusBrain

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
4,315
306
Nilikuwa napitia maoni ya wana JF kuhusiana na matokeo ya igunga ambayo yamekipa ushindi chama cha ccm. Wengi wa wana chadema wanajipa moyo kuwa chama kilikuwa na hakina kitu na hivi sasa kimepata kura. Huu uchaguzi haukuwa wakutafuta idadi ya kura za vyama bali ni mbunge. Na kama ingekuwa kujua idadi ya kura mgetafuta njia zingine za kujua hilo.
Kwa maana hiyo basi, mambo yakusema tumepata kura halikuwa lengo lake, lengo nikumpata mbunge. Kama hukumpata mbunge ina maana hukutimiza lengo lako na huna sababu yakujisifu.
Hizo ni kauli za kuliwazana tu humu ndani na kutiana moyo (kujifariji). Kubalini mmeshindwa kwenye uchaguzi huru na wa haki, jipangeni upya.
 
Baada ya serikali kutumia fedha nyingi (3+billions) Igunga waambie serikali ikalipe mishahara ya wafanyakzi ambao mpaka sasa hwajalipwa.
 
Baada ya serikali kutumia fedha nyingi (3+billions) Igunga waambie serikali ikalipe mishahara ya wafanyakzi ambao mpaka sasa hwajalipwa.

Billioni 3 ni fedha za chama si serikali. CDM mmetumia pesa igunga mmefilisika akaunti za benki zote hakuna kitu, mnasubiri sasa bwana yenu ccm awape ruzuku ndio mpate nafuu.
 
Ni kweli wameshindwa wanajifariji kua wamepata kura nyingi,aah wapi wangepata kura nyingi si wangeshinda?mlienda ktk ushindani wakutafuta ubunge mmekosa kubalini kushindwa,ila sio mbay cdm mkijifariji hivyo kama ndio mnaona inawapunguzia machungu ok endeleeni kujifariji,HAYA MMEPATA KURA NYINGI EEHH! Toto achen kulia bhaana.
 
Nilikuwa napitia maoni ya wana JF kuhusiana na matokeo ya igunga ambayo yamekipa ushindi chama cha ccm. Wengi wa wana chadema wanajipa moyo kuwa chama kilikuwa na hakina kitu na hivi sasa kimepata kura. Huu uchaguzi haukuwa wakutafuta idadi ya kura za vyama bali ni mbunge. Na kama ingekuwa kujua idadi ya kura mgetafuta njia zingine za kujua hilo.
Kwa maana hiyo basi, mambo yakusema tumepata kura halikuwa lengo lake, lengo nikumpata mbunge. Kama hukumpata mbunge ina maana hukutimiza lengo lako na huna sababu yakujisifu.
Hizo ni kauli za kuliwazana tu humu ndani na kutiana moyo (kujifariji). Kubalini mmeshindwa kwenye uchaguzi huru na wa haki, jipangeni upya.
mkuu tatizo lako ulikimbia somo hisabati darasa la tano - mle kuna kitu kinaitwa statistics. kwa hiyo wadanganye wenzako mliokuwa mnagawa nao mahindi kwa wapiga kura wenye njaa wakati wa kampeni - hao watakuelewa 'cause mpo level moja.
 
Nilikuwa napitia maoni ya wana JF kuhusiana na matokeo ya igunga ambayo yamekipa ushindi chama cha ccm. Wengi wa wana chadema wanajipa moyo kuwa chama kilikuwa na hakina kitu na hivi sasa kimepata kura. Huu uchaguzi haukuwa wakutafuta idadi ya kura za vyama bali ni mbunge. Na kama ingekuwa kujua idadi ya kura mgetafuta njia zingine za kujua hilo.
Kwa maana hiyo basi, mambo yakusema tumepata kura halikuwa lengo lake, lengo nikumpata mbunge. Kama hukumpata mbunge ina maana hukutimiza lengo lako na huna sababu yakujisifu.
Hizo ni kauli za kuliwazana tu humu ndani na kutiana moyo (kujifariji). Kubalini mmeshindwa kwenye uchaguzi huru na wa haki, jipangeni upya.


Kila unachokileta hapa JF ni majitaka tu,nakushauru mambo yafuatayo kama mtanzania mwenzagu....

  1. Acha kupost threads wala kuchangia uwe unasoma mawazo ya great thinkers....unatia aibu
  2. Ukapate councelling kwa madaktari wa akili....
  3. Unaweza ukawa na pepo wa kukataliwa kuna Mzee wa upako na Mbunge wenu Mama Rwakatare wanaweza kukuombea...
  4. Acha pupa tulia,tafakari,chunguza ndio ufanye jambo.....
 
Ni kweli wameshindwa wanajifariji kua wamepata kura nyingi,aah wapi wangepata kura nyingi si wangeshinda?mlienda ktk ushindani wakutafuta ubunge mmekosa kubalini kushindwa,ila sio mbay cdm mkijifariji hivyo kama ndio mnaona inawapunguzia machungu ok endeleeni kujifariji,HAYA MMEPATA KURA NYINGI EEHH! Toto achen kulia bhaana.

Jamaa wamechanganyikiwa sana na siku ya matokeo walizimia baadhi ya viongozi wao kwa mshtuko. Na wao wamekiri humu JF kuwa hv sasa akili zao haziko sawa baada ya dhoruba ya igunga, wamechanganyikiwa !
 


Kila unachokileta hapa JF ni majitaka tu,nakushauru mambo yafuatayo kama mtanzania mwenzagu....
  1. Acha kupost threads wala kuchangia uwe unasoma mawazo ya great thinkers....unatia aibu
  2. Ukapate councelling kwa madaktari wa akili....
  3. Unaweza ukawa na pepo wa kukataliwa kuna Mzee wa upako na Mbunge wenu Mama Rwakatare wanaweza kukuombea...
  4. Acha pupa tulia,tafakari,chunguza ndio ufanye jambo.....

Wale wale walio kiri kuchanganyikiwa na dhoruba la igunga mpaka kuzimia kwa wanachama + viongozi wao . Tunajua imewauma sana kukosa igunga ila kuweni na subira na uvumilivu mtaipata nchi 3025. CCM Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee !
 
jamaa wamechanganyikiwa sana na siku ya matokeo walizimia baadhi ya viongozi wao kwa mshtuko. Na wao wamekiri humu jf kuwa hv sasa akili zao haziko sawa baada ya dhoruba ya igunga, wamechanganyikiwa !
zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
 
mkuu tatizo lako ulikimbia somo hisabati darasa la tano - mle kuna kitu kinaitwa statistics. kwa hiyo wadanganye wenzako mliokuwa mnagawa nao mahindi kwa wapiga kura wenye njaa wakati wa kampeni - hao watakuelewa 'cause mpo level moja.

Msitake kuwadanganya watu na kujifariji kwa suala eti oooooh kura kura hilo halikuwa lengo, lengo nikumpata mbunge. Kama mlitaka kujua idadi ya watu wanao wa support si mngefanya research mngejua ? acheni kujifariji magwanda mmefanywa kitu mbaya kote kote !
 
Wale wale walio kiri kuchanganyikiwa na dhoruba la igunga mpaka kuzimia kwa wanachama + viongozi wao . Tunajua imewauma sana kukosa igunga ila kuweni na subira na uvumilivu mtaipata nchi 3025. CCM Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee !

umedumazwa akili na ccm wewe pumbav kweli unapost vi2 vya kipumbav,haya nambie ruzuku inapatikana vipi?.
 
zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz

Thanx mpenzi wangu na kweli CHADEMA zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
 
mkuu tatizo lako ulikimbia somo hisabati darasa la tano - mle kuna kitu kinaitwa statistics. kwa hiyo wadanganye wenzako mliokuwa mnagawa nao mahindi kwa wapiga kura wenye njaa wakati wa kampeni - hao watakuelewa 'cause mpo level moja.
BWANA FUSO Takwimu unazosema leo hii baada ya uchaguzi hazisaidii kitu. CDM mmekuwa wa pili haijalishi wa kwanza kawashinda kwa kura ngapi. Jipangeni upya. Hizi danganya toto za mabosi wenu waambieni tunataka kushinda. Visingizio vya mahindi havina nafasi hapa. yapo maeneo mengi hayakuwa na uchaguzi wamepata mahindi. Musoma wamepata mahindi. Ulitaka watu wafe kwa njaa tusubiri uchaguzi uishe?
 
umedumazwa akili na ccm wewe pumbav kweli unapost vi2 vya kipumbav,haya nambie ruzuku inapatikana vipi?.

CCM ana mtoto wake wa kiume anayeitwa Serikali ambae sasa yeye amewaoa wake wengi akiwemo mmoja anaitwa chadema. Sasa huyu serikali anampa mkewe chadema ruzuku ili nae apendeze pendeze kwa kwenda salon nk
 
Nadhani sisi watanzania tunaishi katika Tanzani tofauti sana na nadhani kuna tanzania mbili-ya wanaokula kwa ccm (3%) na wanaokula kwa jasho lao (97%). Hivi kwa hali ilivyo leo, unaweza kushabikia uwezo wa CCM kututoa katika hali hii tuliyonayo? Naomba wana JF tuwe wakweli na si ushabiki tuu.

Ngoja nikaangalie kama mshahara wangu wa mwezi uliopita kama umeingia benki.

Mwalimu.
 
umedumazwa akili na ccm wewe pumbav kweli unapost vi2 vya kipumbav,haya nambie ruzuku inapatikana vipi?.
RUZUKU? unamuuliza nanii? Kamuulize katibu wako atakujibu. kama mmetumia milioni 400 mmekwisha. hiyo ni ruzukum ya miezi 4. mtalala njaa mpaka mtakoma. Mnafikiria kumchangia kashindye kupitisha bakuli. looh.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom