Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,742
- 40,965
Tupo hapa kuendeleza na kutunza kile kilichowekwa na Muumbaji
Sasa mbona umeweka majibu yote hapo au hujaona hilo?Tunazaliwa, tunakua tunazeeka tunakufa!
Lengo la sie kuwa hapa duniani ni nini?
Kwa nini tuko hapa na tumetokea wapi, kwanini tunaishi hapa??
Kwa nini tunazaa watoto?
Tunawazaa Waje wafanye nini hapa wakati mwisho wao nikufa??
Siku zote tunaangaika na maisha kupata fedha ili kupata chakula cha asubui mchana na jioni, then tuna lala tunaamka tunaendela kutafuta fedha kwa ajili ya chakula cha asubui mchana na jioni tuna lala tena, siku zinakwenda tunazeeka tuna kufa, mzunguko unaendelea nini maaana yake???
Kuna haja ya kuzaa mtoto ili aje kupitia mzungukuko huu wa maisha?
Yaani kuamka asubui kwenda kutafuta, kula, kulala na kusubiri kufa??
NINI MAANA YA MAISHA, KWA NINI TUNAISHI?
Tunafanyaa meeengi, yote ni kama kujisahaulisha hitimisho letu (kifo)!!
Utajenga jumba kubwa kuliko yoote, utafanikiwa kupita binadamu wooooote duniani, utakuwa na pesa nyiiiingi sana mpaka hujui cha kuzifanyia lakini unakufa, sasa kwanini tunaishi hapa duniani??? Kulikua na ulazima gani wasie kuwepo hapa duniani kama tunakufa?
JeTunaishi ili tufe???
Nini maana ya maisha???View attachment 1575137
Kwa imani yako uhai ni nini na kifo ni nini?Kwa imani yako. Mungu yuko hai au hayupo hai?
Mi sina imani ya kuamini uhai na kifoKwa imani yako uhai ni nini na kifo ni nini?
Lazima nikuhoji sababu usiandike andike mambo ambayo huwezi kuthibitisha, wewe umesema Mola amedai, sada ndiyo uniambie amedai hili wapi ? Sasa usikwepe tatizo ulilolileta wewe.Soma kwa uelewa..usinilazimisheni nimjadili yeye wakati mimi nipo na wewe hapa.!
Kwani katika maisha ni lazima tutumikie kitu ili tuwe na furaha.?
Sasa Mungu anapata faida gani kuabudiwa na mwanadamu?? ana pungukiwa na nini asipo abudiwa??.hizi hoja zako zimekaa ki imani za kidini na hazithibitiki.....hongera dada ndo mwanzo wa kujitambua uko...
Na ukishajua hilo utajiona tofauti sna...
Binadamu huwa tunajitoa ufahamu Sana kuhusu lengo letu la kuishi apa duniani, kuna watu hawataki ata kusikia hii mada sio tu kusoma....ipo sababu ya wao kufanya hvyo....
Lipo kundi la watu linafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha linawapumbaza wanadamu wasijue lengo la uwepo wao apa dunia....na lipo kundi la watu linapambana kutaka watu wajitambue lengo la kuumbwa kwao japo hili kundi lapigwa vita Sana.
Kwaufupi lengo kuu la kuumbwa wanadamu na majini ni kumuabudu mola wao...na neno kumuabudu ni kumpwekesha yeye (kumtukuza na kumtegemea yeye) ktk kila kitu...
Dunia ni mapito....dunia ni njia...dunia ni kituo
Mwanadamu tunapitia vituo mbalimbali kila kituo kinaradha yake na machungu yake ila kituo cha mwsho inategemea na jinsi ulivyoishi kituo cha duniani...
Kituo 1:- maji yenye kuchupa (manii)
Kituo 2:-. Ndani ya matumbo ya mama zetu
Kituo 3:-. Duniani
Kituo 4:- Kaburini
Kituo 5:- Peponi au motoni inategemea na matendo yako ya duniani na huruma ya Muumba wako.
Maisha ya duniani ndo maisha ambayo yamebeba siri kubwa sana na hatma ya mwanadamu....na apa ndo tumepewa ule uwezo wa nguvu za kujicontrol....Ila baada na kabla ya apo ni out of our control ni amri tu ya Muumba wetu...
Mtu akifa hazikwi na yale aliyoyachuma isipokuwa matendo yake tuu...
Nini maana ya imani?Mi sina imani ya kuamini uhai na kifo
Tuambie wewe mungu unaye muamini yuko hai au hayuko hai?
Imani ni kukubaliana na jambo fulani kua ni kweli pasipo kuthibitishaNini maana ya imani?
Nisiwe nikawa najadili na ambaye hajui maana!
ilikihishiSawa kiumbe kingine ili iweje???
Mwanzoni tulipewa umiliki na wakale wetu walipoasi hakika ya kufa ikawepoTunaendeleza alafu tunakufa???
Labda hujui maana ya kuabudiwa...Sasa Mungu anapata faida gani kuabudiwa na mwanadamu?? ana pungukiwa na nini asipo abudiwa??.hizi hoja zako zimekaa ki imani za kidini na hazithibitiki.
Hata kuku anajiuliza hivo hivo...ila mfugajj ndio mwenye jibuTunazaliwa, tunakua tunazeeka tunakufa!
Lengo la sie kuwa hapa duniani ni nini?
Kwa nini tuko hapa na tumetokea wapi, kwanini tunaishi hapa??
Kwa nini tunazaa watoto?
Tunawazaa Waje wafanye nini hapa wakati mwisho wao nikufa??
Siku zote tunaangaika na maisha kupata fedha ili kupata chakula cha asubui mchana na jioni, then tuna lala tunaamka tunaendela kutafuta fedha kwa ajili ya chakula cha asubui mchana na jioni tuna lala tena, siku zinakwenda tunazeeka tuna kufa, mzunguko unaendelea nini maaana yake???
Kuna haja ya kuzaa mtoto ili aje kupitia mzungukuko huu wa maisha?
Yaani kuamka asubui kwenda kutafuta, kula, kulala na kusubiri kufa??
NINI MAANA YA MAISHA, KWA NINI TUNAISHI?
Tunafanyaa meeengi, yote ni kama kujisahaulisha hitimisho letu (kifo)!!
Utajenga jumba kubwa kuliko yoote, utafanikiwa kupita binadamu wooooote duniani, utakuwa na pesa nyiiiingi sana mpaka hujui cha kuzifanyia lakini unakufa, sasa kwanini tunaishi hapa duniani??? Kulikua na ulazima gani wasie kuwepo hapa duniani kama tunakufa?
JeTunaishi ili tufe???
Nini maana ya maisha???View attachment 1575137
Kweli kabisa yaani! Lakini hata ukila pia unakufa vile vile dahhDah mi mwenyewe huwaga nachoka hapo tu,nahangaika ili nipate kitu cha kula leo na kuweka akiba ya kesho na ukisema ukae tu bila kuls chochote unakufa njaa!sasa sijui lengo letu hapa duniani ni kula tu?maana yote wanayosema ndio lengo la kuletwa duniani ukiyaacha kuyafanya haufi sasa acha kula kama week nenda kasali uone.
Msumbufu sana wewe..Hebu nukuu sehemu niliyosema mola wako kadai..!?wewe umesema Mola amedai, sada ndiyo uniambie amedai hili wapi ? Sasa usikwepe tatizo ulilolileta wewe.
Utakufa kwa vitu vingine ila sio njaa mtoto akizaliwa asiponyonyeshwa anadanja.na asilimia kubwa tunahangaika kutafuta chakula, sio binaadam tu hata kuku akiamka tu anatafuta jalala lilipo .Kweli kabisa yaani! Lakini hata ukila pia unakufa vile vile dahh