technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Mpaka muda huu bado sijaelewa lengo la Magufuli na Ikulu kutaka kumlipia Msigwa ili hatoke na wenzie wabaki je ilikuwa ni kukigawa chadema? ilikuwa ni chuki dhidi ya upinzani kati ya mbowe na Magufuli? natafakali vigezo vilivyotumia ivi undugu ni zaidi ya sheria kwanini hawakutafutwa mawakili wake ndio wakamlipie ila ccm?