johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,788
- 141,682
Injinia Kagoshaki kutoka Japan ameshangaa inakuwaje mtu anayegombea uongozi wa serikali anajaza fomu kwa mkono!
Kagoshaki anasema Japan unapojaza fomu yoyote hata ya kuomba chumba cha kulala Hotelini utatumia kompyuta ambayo itakuwa inakupa mwongozo ili usikosee. Lengo la kujaza fomu ni kupata taarifa tarajiwa siyo " kumtega" mjazaji ili umuhukumu, amenielimisha mjapani.
Kule Japan mtu hawezi kukosea kujaza fomu hata kama amelewa kwa sababu fomu haikosewi.
Nawatakia mchana mwema!
Maendeleo hayana vyama!
Kagoshaki anasema Japan unapojaza fomu yoyote hata ya kuomba chumba cha kulala Hotelini utatumia kompyuta ambayo itakuwa inakupa mwongozo ili usikosee. Lengo la kujaza fomu ni kupata taarifa tarajiwa siyo " kumtega" mjazaji ili umuhukumu, amenielimisha mjapani.
Kule Japan mtu hawezi kukosea kujaza fomu hata kama amelewa kwa sababu fomu haikosewi.
Nawatakia mchana mwema!
Maendeleo hayana vyama!