Lengo la CHADEMA kushiriki Uchaguzi kinondoni sio kushinda Bali kuvuruga.

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,671
40,912
Baada ya Chadema kususia uchaguzi mdogo kwa majimbo kadhaa ikiwamo longido na songea , kwa sababu zisizokuwa na mantiki yoyote ile Ghafla tu wameamua kushiriki Chaguzi za Siha na Kinondoni.

Lengo halisi la kushiriki majimbo haya mawili hasa hili la kinondoni ni kuvuruga Chaguzi wakiwa na nia ya kuchafua image ya nchi kimataifa.

Nasema hivyo kwakua Sababu wanazodai kuwazuia kushiriki chaguzi za awali hazikua na ukweli wowote na hili limedhibitishwa na wao wenyewe kwa kushiriki Chaguzi za sasa.

Vile vile kwa kumteua Mgombea ambaye ni very unpopular ni ishara ya kumtoa sadaka Mgombea mwenyewe na kumtumia tu kama chambo ya kuwaweza kushiriki Katika uchaguzi na kuuvuruga.

Salum, hafahamiki, hana ushawishi wala hawezi shinda uchaguzi wa jimbo la kinondoni.

kwakua Salum hana yote hayo, unauliza sababu za Chadema kumtumia Katika uchaguzi huu na kubaki na moja tu, ya kufanya vurugu.

Ni Rai yangu tu kwa vyombo vya usalama kuwa makini sana wanapodeal na wafuasi wa Chadema Katika Chaguzi hii kwani Nina hakika hawaji kushiriki kwa lengo la kushiriki, Bali kuna nia ovu nyuma yake.
 
Sijasoma mada lakini naomba nikujibu ifuatavyo
Mlitaka upinzani wasishiriki tuamini nchi ni ya chama kimoja?
Vurugu zenu hamzioni
Arusha mlifanya nini
Hii nchi ni yetu wandugu mbona kututenga???
Mlaaniwe ninyi na vizazi vyenu
 
Baada ya Chadema kususia uchaguzi mdogo kwa majimbo kadhaa ikiwamo longido na songea , kwa sababu zisizokuwa na mantiki yoyote ile Ghafla tu wameamua kushiriki Chaguzi za Siha na Kinondoni.

Lengo halisi la kushiriki majimbo haya mawili hasa hili la kinondoni ni kuvuruga Chaguzi wakiwa na nia ya kuchafua image ya nchi kimataifa.

Nasema hivyo kwakua Sababu wanazodai kuwazuia kushiriki chaguzi za awali hazikua na ukweli wowote na hili limedhibitishwa na wao wenyewe kwa kushiriki Chaguzi za sasa.

Vile vile kwa kumteua Mgombea ambaye ni very unpopular ni ishara ya kumtoa sadaka Mgombea mwenyewe na kumtumia tu kama chambo ya kuwaweza kushiriki Katika uchaguzi na kuuvuruga.

Salum, hafahamiki, hana ushawishi wala hawezi shinda uchaguzi wa jimbo la kinondoni.

kwakua Salum hana yote hayo, unauliza sababu za Chadema kumtumia Katika uchaguzi huu na kubaki na moja tu, ya kufanya vurugu.

Ni Rai yangu tu kwa vyombo vya usalama kuwa makini sana wanapodeal na wafuasi wa Chadema Katika Chaguzi hii kwani Nina hakika hawaji kushiriki kwa lengo la kushiriki, Bali kuna nia ovu nyuma yake.
CC:Makonda,kamanda Mambosasa,
 
Usijali mleta maada mikakati yote ya wao kufanya vurugu na nyumba walizokutania kupanga ndani na nje ya nchi zinafahamika na wahusika wako kwenye kamera kila wanakoenda .Ushauri bure wale wahuni Chadema mnaotaka kuwaleta toka kuleeeeee waage kwao kabisa kuwa kuna uwezekano wa kurudi au kutorudi milele waage kwao.Mashinji na salum mwalimu makamanda wao mumesikia?
 
.....Nilishangaa kususia Longido!..maana ushindi ulikuwa dhahiri shahiri,...ndiyo itakavyokuwa kwa Siha/Kinondoni yote yataenda Chadema kiubweteee, pengine tu gilba ikitumika..
 
Baada ya Chadema kususia uchaguzi mdogo kwa majimbo kadhaa ikiwamo longido na songea , kwa sababu zisizokuwa na mantiki yoyote ile Ghafla tu wameamua kushiriki Chaguzi za Siha na Kinondoni.

Lengo halisi la kushiriki majimbo haya mawili hasa hili la kinondoni ni kuvuruga Chaguzi wakiwa na nia ya kuchafua image ya nchi kimataifa.

Nasema hivyo kwakua Sababu wanazodai kuwazuia kushiriki chaguzi za awali hazikua na ukweli wowote na hili limedhibitishwa na wao wenyewe kwa kushiriki Chaguzi za sasa.

Vile vile kwa kumteua Mgombea ambaye ni very unpopular ni ishara ya kumtoa sadaka Mgombea mwenyewe na kumtumia tu kama chambo ya kuwaweza kushiriki Katika uchaguzi na kuuvuruga.

Salum, hafahamiki, hana ushawishi wala hawezi shinda uchaguzi wa jimbo la kinondoni.

kwakua Salum hana yote hayo, unauliza sababu za Chadema kumtumia Katika uchaguzi huu na kubaki na moja tu, ya kufanya vurugu.

Ni Rai yangu tu kwa vyombo vya usalama kuwa makini sana wanapodeal na wafuasi wa Chadema Katika Chaguzi hii kwani Nina hakika hawaji kushiriki kwa lengo la kushiriki, Bali kuna nia ovu nyuma yake.

Haya ni maoni yako, ya chama chako, ya NEC ya Jeshi la polisi.

Hebu tuambie hayo uliyosema umeyatoa wapi?


Maan nilifikiri ungeanza kwa kusema kwa maoni yako ama mwisho ungemalizia hayo ni maoni ama mtazamo wako.
Kwa maoni yangu Kuna wakati tufike mahali hapa JF mtu kabla hajasajiliwa apimwe afya ya Akili
 
Baada ya Chadema kususia uchaguzi mdogo kwa majimbo kadhaa ikiwamo longido na songea , kwa sababu zisizokuwa na mantiki yoyote ile Ghafla tu wameamua kushiriki Chaguzi za Siha na Kinondoni.

Lengo halisi la kushiriki majimbo haya mawili hasa hili la kinondoni ni kuvuruga Chaguzi wakiwa na nia ya kuchafua image ya nchi kimataifa.

Nasema hivyo kwakua Sababu wanazodai kuwazuia kushiriki chaguzi za awali hazikua na ukweli wowote na hili limedhibitishwa na wao wenyewe kwa kushiriki Chaguzi za sasa.

Vile vile kwa kumteua Mgombea ambaye ni very unpopular ni ishara ya kumtoa sadaka Mgombea mwenyewe na kumtumia tu kama chambo ya kuwaweza kushiriki Katika uchaguzi na kuuvuruga.

Salum, hafahamiki, hana ushawishi wala hawezi shinda uchaguzi wa jimbo la kinondoni.

kwakua Salum hana yote hayo, unauliza sababu za Chadema kumtumia Katika uchaguzi huu na kubaki na moja tu, ya kufanya vurugu.

Ni Rai yangu tu kwa vyombo vya usalama kuwa makini sana wanapodeal na wafuasi wa Chadema Katika Chaguzi hii kwani Nina hakika hawaji kushiriki kwa lengo la kushiriki, Bali kuna nia ovu nyuma yake.
Kuna mpemba asiyefahamika kinondoni/ magomeni/ mwananyamala?!!.......nenda pale mtambani utanielewa!
 
Una-stroke , hakuna cha maana ktk maelezo yako. Weka kwenye chombo cha takataka
 
Sijasoma mada lakini naomba nikujibu ifuatavyo
Mlitaka upinzani wasishiriki tuamini nchi ni ya chama kimoja?
Vurugu zenu hamzioni
Arusha mlifanya nini
Hii nchi ni yetu wandugu mbona kututenga???
Mlaaniwe ninyi na vizazi vyenu
Mada hujasoma halafu unatoa laana
Hoja hapa ni je kuna mabadiliko yoyote yaliwafanya wagome
 
Kamuulize le profesel toka afanye madudu amewahi kwenda kuswali msikiti wa mtambani????Kinondoni ina wenyewe
 
Baada ya Chadema kususia uchaguzi mdogo kwa majimbo kadhaa ikiwamo longido na songea , kwa sababu zisizokuwa na mantiki yoyote ile Ghafla tu wameamua kushiriki Chaguzi za Siha na Kinondoni.

Lengo halisi la kushiriki majimbo haya mawili hasa hili la kinondoni ni kuvuruga Chaguzi wakiwa na nia ya kuchafua image ya nchi kimataifa.

Nasema hivyo kwakua Sababu wanazodai kuwazuia kushiriki chaguzi za awali hazikua na ukweli wowote na hili limedhibitishwa na wao wenyewe kwa kushiriki Chaguzi za sasa.

Vile vile kwa kumteua Mgombea ambaye ni very unpopular ni ishara ya kumtoa sadaka Mgombea mwenyewe na kumtumia tu kama chambo ya kuwaweza kushiriki Katika uchaguzi na kuuvuruga.

Salum, hafahamiki, hana ushawishi wala hawezi shinda uchaguzi wa jimbo la kinondoni.

kwakua Salum hana yote hayo, unauliza sababu za Chadema kumtumia Katika uchaguzi huu na kubaki na moja tu, ya kufanya vurugu.

Ni Rai yangu tu kwa vyombo vya usalama kuwa makini sana wanapodeal na wafuasi wa Chadema Katika Chaguzi hii kwani Nina hakika hawaji kushiriki kwa lengo la kushiriki, Bali kuna nia ovu nyuma yake.

1.Sasa kama Salum mwalim hafahamiki si ndo mgombea mwenzake kushinda kirahisi? bado hili unaliona tatizo?
2. Tume ya taifa ya uchaguzi waliandika barua kuwataka wakurugenzi na wakuu flani wa wilaya kutoingilia uchaguzi, Je huoni mazingira sasa ni fare kwa vyama vingine kushiriki ikiwemo CDM? nalo hili hulioni?
3. Hiyo rai yako mbn hukuitoa chaguzi zilizopita? kwanini usishauri vyombo vya dola kusimamia uchaguzi kwa ujumla wake?
4.Hiyo single ya vurugu nimeisikia miaka kadhaa iliyopita na kwa miaka ya sasa haina mashiko maana watu wameelimika na kustarabika

Ushauri wangu kwako mkuu tulia kipenga kipulizwe game ni dk 90
 
Chama kongwe wamepagawa kijasho chembamba kinawatoka.
Songea na Singida wapiga kura waliwakacha kiaina sasa subirieni awamu hii wapigakura watakavyobanana siku ya uchaguzi na kuwadhihirishia wazi kuwa hata kule wangeshinda.
Na hayo majimbo yote ni ya moto kwa upande wa chama kongwe. Wachagga hawawaachii gepu na wanaume wa dar ndio kabisa.
Kumbukeni wananchi hawakuwachagua Mtulia wala Mollel bali waliuchagua UKAWA. Na sasa kombe lazima liende monduli.
 
Baada ya Chadema kususia uchaguzi mdogo kwa majimbo kadhaa ikiwamo longido na songea , kwa sababu zisizokuwa na mantiki yoyote ile Ghafla tu wameamua kushiriki Chaguzi za Siha na Kinondoni.

Lengo halisi la kushiriki majimbo haya mawili hasa hili la kinondoni ni kuvuruga Chaguzi wakiwa na nia ya kuchafua image ya nchi kimataifa.

Nasema hivyo kwakua Sababu wanazodai kuwazuia kushiriki chaguzi za awali hazikua na ukweli wowote na hili limedhibitishwa na wao wenyewe kwa kushiriki Chaguzi za sasa.

Vile vile kwa kumteua Mgombea ambaye ni very unpopular ni ishara ya kumtoa sadaka Mgombea mwenyewe na kumtumia tu kama chambo ya kuwaweza kushiriki Katika uchaguzi na kuuvuruga.

Salum, hafahamiki, hana ushawishi wala hawezi shinda uchaguzi wa jimbo la kinondoni.

kwakua Salum hana yote hayo, unauliza sababu za Chadema kumtumia Katika uchaguzi huu na kubaki na moja tu, ya kufanya vurugu.

Ni Rai yangu tu kwa vyombo vya usalama kuwa makini sana wanapodeal na wafuasi wa Chadema Katika Chaguzi hii kwani Nina hakika hawaji kushiriki kwa lengo la kushiriki, Bali kuna nia ovu nyuma yake.
Watu aina yako ndiyo wanafanya Tanzania kuwa shithole, na umeanza siku nyingi sana kufanya hivyo.
Kama kuna faida unayopata kwa akili hiyo basi Mungu na atusaidie, atuokoe na janga hili!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom