Dah ana chura fulani
Si mmeona kmbe sijakosea
Ova
Unakumbuka 2019 niliandika ule uzi watu wakamtetea kajionee maajabu
Dah ana chura fulani
Si mmeona kmbe sijakosea
Ova
Bahati humpata kila mtu.Aliyekuwa Dc wa Hai Ole Sabaya baada ya kuhukumiwa amewatoa wasiwasi wafuasi wake kwa kuwapa kauli ya kiroho , Amesema hivi , Nanukuu , MSIJALI MAANA MUNGU YUKO KAZINI , Mwisho wa kunukuu .
Chanzo : Mwananchi
Nachukua nafasi hii mimi binafsi kuipa pole sana familia ya Ole Sabaya kwa shida iliyotokea kutokana na hukumu aliyopewa kijana wao .
kesi ya Sabaya ni kesi ya kweli haina shaka kote Duniani lakini kesi ya mbowe ni kesi feki hewa kesi ya uonevu kesi ya kubambikiwa huku PGO ikiwa imekiukwa kwa kiwango cha juuHizo kesi zenyewe za sabaya na mbowe ni kesi za kubumba bumba tu! Ngoja tuone kwa mbowe!
Kala 30. Mpuuzi yule. Ukiambiwa ukaue nawe unaua????Kwani Sabaya mwenyewe anasemaje
Huu ni mtego wa ile kesi nyingine kamanda. Utakuja kuniambia!Aliyekuwa Dc wa Hai Ole Sabaya baada ya kuhukumiwa amewatoa wasiwasi wafuasi wake kwa kuwapa kauli ya kiroho , Amesema hivi , Nanukuu , MSIJALI MAANA MUNGU YUKO KAZINI , Mwisho wa kunukuu .
Chanzo : Mwananchi
Nachukua nafasi hii mimi binafsi kuipa pole sana familia ya Ole Sabaya kwa shida iliyotokea kutokana na hukumu aliyopewa kijana wao .
UNGEKUWA NI WEWE UNGEJITETEAJE?dah huo utetezi umetoka kweli kwa Sabaya au ni story tu za vijiweni?... kama kweli ametoa utetezi huo basi naweza sema jamaa ni full kilaza aisee na kumbe nje ya mamlaka hana ujanja wowote....fuckin kabisa aisee..
Unapewa nafasi ya kujitetea unaongea upuuzi huo aisee, Elimu yetu inahitaji complete overhaul aisee huyu ni kijana msomi na alikuwa kiongozi mkubwa ngazi ya wilaya aisee anaongea ujinga kama huu kama utetezi wake..bora angekaa kimya tu aiseee..
KIla mmoja miaka 30 Jela. Kosa huwa haligawanyiki.Sio kweli kila mmoja miaka 7 jela
Inaonekana Sabaya alimuonyesha dharau mama , maana Makonda yupo tu anadunda
huyu culprit of the highest degree alidhani akimtaja mwendazake na P.Mpango basi ataachiwa kumbe ndiyo aliharibu kabisaMungu yupo kazini kwakuwa yamekukuta? Wakati mnapowaonea wengine shetani anakuwa zamu sio?
Kauli ya mkosaji hii..huyu Mungu anaemsema ndio amekua kazini kuhakikisha anaadhibiwa Kwa matendo yake ..hivi ni kwanini watu wanapopata matatizo ndipo wanamkumbuka Mungu? Mbona hakuwa anasema Mungu alikua kazini alipokua anapora watu na kuwatesa na kuwatia mademu WA watu ..Aliyekuwa Dc wa Hai Ole Sabaya baada ya kuhukumiwa amewatoa wasiwasi wafuasi wake kwa kuwapa kauli ya kiroho , Amesema hivi , Nanukuu , MSIJALI MAANA MUNGU YUKO KAZINI , Mwisho wa kunukuu .
Chanzo : Mwananchi
Nachukua nafasi hii mimi binafsi kuipa pole sana familia ya Ole Sabaya kwa shida iliyotokea kutokana na hukumu aliyopewa kijana wao .
Utetezi wa Sabaya ni utetezi wa kibwege kweli sasa ngoja akina kingai mahita rafiki zake wamtunzie huyo mchumba wake"nina mchumba ninatarajia kumuoa hivi karibuni na mahari nimeshalipa naomba mahakama iniachie huru..."
Usilinganishe kesi halisia ya Sabaya na ya Mbowe ya kumbambikizia.Hizo kesi zenyewe za sabaya na mbowe ni kesi za kubumba bumba tu! Ngoja tuone kwa mbowe!
Ruksa kula tena bila ndomu hata ukitaka jicho utapewa,jiachie kwa raha zako.kwaiyo saiz mke wa sabaya ni mali yetu??