Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,013
Punguani wewe. Ulaya Hawakai wanaume tu? Mbona shaka unalelewa na salumu mpelembwe huko Tanga na bado ni kiongozi mwandamizi wa ccm!Haoni aibu kulelewa na wanaume wenzake?
Punguani wewe. Ulaya Hawakai wanaume tu? Mbona shaka unalelewa na salumu mpelembwe huko Tanga na bado ni kiongozi mwandamizi wa ccm!Haoni aibu kulelewa na wanaume wenzake?
We mfupiiiii tena mfupii sanaa....Mimi hata si mfupi ni mwanamke mrefu kuzidi ukoo wenu mzima so hzo za emolo sijui vyovyote unavoita havipo kwangu, niwaachie nyie wafugaji.
Shujaa aliyekomesha utapeli wa kisiasa wilayani Hai na kumsitafisha rasmi ubunge Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, leo amefikishwa mahakamani kwa heshima zote akiwa na ulinzi wa kiserikali kitu ambacho ni tofauti kabisa alivyofikishwa mwanzo.
Sabaya leo amefika mahakamani akiwa amevaa vizuri huku usoni akiwa amejawa na tabasamu, hii ni dalili njema kwa wazalendo wa nchi yetu. Kuna kila dalili uongo waliomzushia sasa umeanza kujitenga na ukweli.
View attachment 1823073
ujinga mtupumxngg sana wewe.
Sabaya ipo siku atarudi Hai Kama DCUmaarufu wa huyu kijana saa hizi usipime akirejeshwa kuwa mkuu wa wilaya ya Hai tutaimba nyimbo za taaratibu kama ulaleee salaama kwa jitu moja la Hai limwinyi fulani hivi
Alikuwa akiitwa Mkuu wa Wilaya ya Hai aliyesimamishwa ila kuanzia jana anaitwa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai!Umaarufu wa huyu kijana saa hizi usipime akirejeshwa kuwa mkuu wa wilaya ya Hai tutaimba nyimbo za taaratibu kama ulaleee salaama kwa jitu moja la Hai limwinyi fulani hivi
Ubishi hauhusikani na ufupi, Tena wewe ilivo empty set utakuwa na matege ya ubongoWe mfupiiiii tena mfupii sanaa....
Manake sio kwa ubishi huo.... kaaaah!!
We ni ANDUNJE.
So what??Kumuondoa Mbowe bungeni ndio kulimfanya awe jambazi?Mjinga sana wewKuondoka bungeni kwa mbowe kuna mahusiano ya moja kwa moja na Sabaya
Ndo mana kafupiUbishi hauhusikani na ufupi, Tena wewe ilivo empty set utakuwa na matege ya ubongo
Sawa. Walikuchapa na kumuajiri ndoa baada ya kukuzalisha Kisha wakakuacha kwenye mataa ya ubungo unashangaa! Washukuru kwa kukuzalisha maana ungekufa mgumba!Wachaga ni washamba tu
Kama ka kibamia kakoNdo mana kafupi
Kusitafu ni nini? Kastaafishwa kwa manufaa ya ummaAmesitaafu
Jimbo la Hai mbowe alijifanya mtemiHii dhana kwamba Sabaya alimkosesha Mbowe Ubunge ina walakini. Kwani ukiangalia karibu majimbo yote yameenda CCM uchaguzi wa 2020.
Sasa kuna kipi cha ajabu alichokifanya Sabaya? Hata kama ingekua ni kweli alimdhibiti Mbowe hakupaswa kumdhibiti kimabavu. Pia nafikiri si kazi ya DC kudhibiti upinzani. Alivyokua hamnazo akajipeleka CLAUDS kujustify maovu yake kwa hoja ya kumdhibiti Mbowe! Ikumbukwe kwenye ile interview alionekana kushabikia mtu kukatwa sikio na kwamba ilikua sawa kwa sababu ya kumdhibiti Mbowe. Sabaya was a shame in leadership.