Ukisikia yanayompata Makonda kiuchumi kwa sasa, utasema Mungu ni fundi.Anamzidi MAKONDA?
Kawaje tena?Ukisikia yanayompata Makonda kiuchumi kwa sasa, utasema Mungu ni fundi.
Wapo wengi majambazi Kama yeye, shotii Ndugai ana apartments karibia 180, Makonda ana ukwasi anakimbizana na Mo,Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Gazeti kongwe la RAIA MWEMA ni kwamba aliyekua mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Ole Sabaya anaogelea kwenye mabilioni ya shilingi...
Kwa kweli kama kuna sumu kwa mtu maskini ni ujinga na majungu,ona vijana wengi wa ccm wamejaa ujinga na majungu kutetea mafisadi kama vile: Magufuri, Biswalo, Ndugai, Makonda, Ole Sabaya, Mwigulu Nchemba na wengineo wengi ili malengo yao ya kutawaliwa milele yaendelee na kuendekeza utegemezi nchini.Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Gazeti kongwe la RAIA MWEMA ni kwamba aliyekua mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Ole Sabaya anaogelea kwenye mabilioni ya shilingi...
elewa kilichoandikwa kabla hujajibuHili gazeti liliishakosa credibility.
Huyu kapuku kaisha kuwa millionea? Akamatwe aeleze haraka ana maelezo ya ziada. Na wale wafuasi wa legacy ya mwendazake wajiulize alikuwa nampango gani na nchi yetu? Makonda biloonea, doto billionea., biswalo bilionea wote wateule wa shujaa! Awamu ya tano awamu ya majambaziKwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Gazeti kongwe la RAIA MWEMA ni kwamba aliyekua mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Ole Sabaya anaogelea kwenye mabilioni ya shilingi...
Hayo maneno👊Uchunguze ufanywe...
Awajibike. Huyu jamaa hakustahili kuwa kwenye ofisi yoyote ya umma. Ni mtu asiye na uwezo wala maarifa ya kutumikia watu.Kazi ya kumn’goa Mbowe Hai iligharimu pesa nyingi sana.
Gazeti la Raia Mwema lina historia ya kutumiwa na mafisadi
Ninajua sana nilichoandika. Hili gazeti Galina credibility kabisa. And Ive proof. Nikupe mfano, Luna akauntti iliyowekwa na hilo gazeti ambako Ole Sabaya kaficha hayo mabilioni?
Usomi wangu ni zaidi ya usomi was ukoo wako wote ndio maana huwezi kunielewa!Hawajadili gazeti. Wanamjadili Sabaya. Yaani umekosa uelewa hata wa kujua tu kinachojadiliwa? Na wewe ni miongoni mwa wale wasomi wa darasa la 7?
Dogo, mimi nipo ofisini nikiitumikia nchi hii kwa uaminifu mkubwa!Utakuwa mmoja kati ya wale walinzi wa Sabaya, rudi shambani kalime.
Kweli kabisa, hawana credibity anymore, wanaajiri vilaza wa bei cheeHili gazeti liliishakosa credibility.