Lemutuz Mobimba ni Mgonjwa tumuombee!

Status
Not open for further replies.
Nadhani Kitu cha Msingi alichotakiwa kutuambia ni kuwa anaumwa tu na kwamba anatuomba tumuombee lakini hizo sijui AC mara Five Star Hotel na Hospitali aliyopo ni Siri nadhani Kwangu Mimi hapo amezidi kutuonyesha ' Udhaifu ' wake mkubwa wa Akili / Upeo.

Sasa unapoficha hadi Hospitali wakati kuna Watu kama akina GENTAMYCINE wana ' Upako ' wa moja kwa moja kwa Kumshika au Kumgusa Mtu ' directly ' na anapona kweli kwa hapa Msaada wangu Kwake nitautoaje kama hata Hospitali tu aliyopo sasa ni Siri?

Natamani sana Siku nipate wasaa ' Maalum ' tu niweze kufanya ' Exclusive Interview ' na Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Malecela niweze Kumuuliza Swali langu ambalo linanitatiza Siku nyingi kwamba huyu kweli ni Mwanae ' Biologically ' au labda amesingiziwa au ni Mtoto wa Kaka yake kwani sioni Uhusiano wa Busara na Uwezo mkubwa wa Hekima wa Mzee Malecela na Yeye ( huyu Mgonjwa wa AC )

Mtoto wa Kiume AC tu inakusumbua si hatari sana hapa na tayari umeshatuonyesha jinsi ulivyo ' Nyoro Nyoro / Legevu Legevu ' kabisa. Halafu kwa Mtoto wa Kiume ambaye kila Asubuhi Mnara wako wa Babeli unasimama kuja Mitandaoni na ' Kudekadeka ' kuwa unaumwa Ugonjwa wa ' AC ' ni ishara tosha ya ' Uvimelea ' vya Ukike Kike.

Mtoto wa Kiume unatakiwa Kuugua Magonjwa kama ya Kuvimba Pumbu / Kende, Mboo kuzidi Urefu, Gono, Kaswende, Kutiririka kwa Kasi kwa Shahawa nyingi Mbooni / Uumeni / Mkuyengeni na Tezi Dume ila siyo Kuugua Ugonjwa wa Kike Kike wa ' AC '. Siku zingine acheni ' Kutudhalilisha ' Wanaume wenzenu humu Mitandaoni.

Hahahahaha huu u**la sasa magonjwa gani haya
 
Hata huyu le mutuz dada zake wamefanikiwa kweli kuna mmoja ana PHD mwingine Jaji nazani huyu tu ndio mzee alipata hasara alikataa shule akawa anajifanya ni mission town mpaka leo hajatoboa na miaka yake 65 jamaa ana mvi kama lowasa ndio mana ananyoa nywele aonekane kijana
Sasa huyu ana degree 3 kazipatia marekanì na pia ni bilionèa
 
Status
Not open for further replies.
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom