themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 948
- 3,233
Katika account yake ya instagram amethibitisha kuwa ni mgonjwa kutokana na matumizi makali ya AC na kufanya kazi bila kupumzika you know
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haToo much AC U know.. And I love it!!
😂😂😂
Hahahahahaha Duuuh nilidhani alishaacha haya mambo ya vibintiAu kile kibint cha juzi kimemzungusha sana kunako 6x6 akakata pumzi
Hahahahahaha Duuuh nilidhani alishaacha haya mambo ya vibinti
Hahahaha u know guys am dead and i will send pic of sir godYaani huyu ingekuwa inawezekana hata siku akifa atatamani aamke kidogo apost jambo u know