Lemutuz kavuta jiko, mtoto mkali yaani Kim Kardashian huyu hapa kabisa

Kinachoshangaza ni namna vijana wa kiume wanapoyazungumzia maumbile ya mwanaume mwenzao.......??

How come mtoto wa kiume unakuwa concerned na maumbile ya mwanaume mwenzio.....hayo yalitakiwa yajadiliwe na watoto wa kike......
Mtu yoyote akigundua iko ndo kinakukasrisha lazima azungumzie
 
hahaha, yani ulivyo muandika, ni kama huge media personality kama Kusaga hivi, hehehehe ila sasa ulivymalizia "..maarusi waliingia kwenye noah.." ndio habari ikawa habari
 
Lemutuz pamoja na kuwa na baba mwenye uwezo alipoteza muda wake ughaibuni na kurejea akiwa hana lolote wala lolote. Ama kweli kuna kipindi simba anaweza kuzaa mbwa! Kwa umri huu na mtoto mdogo ambaye ni umri wa binti yake atapata nini zaidi ya presha? Somo ni kwamba kuna haja ya kusoma alama za nyakati.
presha ya nini?
 
Kuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko, mtoto guu guu, super mtindi yaani Kardashian huyu hapa.
Ndoa hiyo iliyofanyika downtown Bongo ilikuwa ya watu wachache sana ambayo ilifuatiwa na sherehe fupi , baadae maharusi waliingia ndani ya Noah ya Lemutuz kuelekea hotelini kwenye fungate.
Bibi harusi inatajwa pamoja na mambo mengine inawezekana akachukua nafasi ya juu ya utendaji katika moja ya makampuni makubwa yanayomilikiwa na gwiji hilo, huku wadadisi wa mambo wakidai huenda akawa mkurugenzi mtendaji wa chombo kikubwa cha habari hapa nchini yaani BLOGU YA WANANCHI.
View attachment 1771598View attachment 1771599

Pita hapa chini kutoa neno la pongezi kwa maharusi hawa.
 
Kuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko, mtoto guu guu, super mtindi yaani Kardashian huyu hapa.
Ndoa hiyo iliyofanyika downtown Bongo ilikuwa ya watu wachache sana ambayo ilifuatiwa na sherehe fupi , baadae maharusi waliingia ndani ya Noah ya Lemutuz kuelekea hotelini kwenye fungate.
Bibi harusi inatajwa pamoja na mambo mengine inawezekana akachukua nafasi ya juu ya utendaji katika moja ya makampuni makubwa yanayomilikiwa na gwiji hilo, huku wadadisi wa mambo wakidai huenda akawa mkurugenzi mtendaji wa chombo kikubwa cha habari hapa nchini yaani BLOGU YA WANANCHI.
View attachment 1771598View attachment 1771599

Pita hapa chini kutoa neno la pongezi kwa maharusi hawa.
Lemutuz hela za mama unaharibu sana.
 
Kuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko, mtoto guu guu, super mtindi yaani Kardashian huyu hapa.
Ndoa hiyo iliyofanyika downtown Bongo ilikuwa ya watu wachache sana ambayo ilifuatiwa na sherehe fupi , baadae maharusi waliingia ndani ya Noah ya Lemutuz kuelekea hotelini kwenye fungate.
Bibi harusi inatajwa pamoja na mambo mengine inawezekana akachukua nafasi ya juu ya utendaji katika moja ya makampuni makubwa yanayomilikiwa na gwiji hilo, huku wadadisi wa mambo wakidai huenda akawa mkurugenzi mtendaji wa chombo kikubwa cha habari hapa nchini yaani BLOGU YA WANANCHI.
View attachment 1771598View attachment 1771599

Pita hapa chini kutoa neno la pongezi kwa maharusi hawa.
Hongera kwake

Mola amjaalie Aache utoto sasa.... Maana kuwa na miaka 64 na kufanikiwa kuoa tena sio mchezo
 
Kuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko, mtoto guu guu, super mtindi yaani Kardashian huyu hapa.
Ndoa hiyo iliyofanyika downtown Bongo ilikuwa ya watu wachache sana ambayo ilifuatiwa na sherehe fupi , baadae maharusi waliingia ndani ya Noah ya Lemutuz kuelekea hotelini kwenye fungate.
Bibi harusi inatajwa pamoja na mambo mengine inawezekana akachukua nafasi ya juu ya utendaji katika moja ya makampuni makubwa yanayomilikiwa na gwiji hilo, huku wadadisi wa mambo wakidai huenda akawa mkurugenzi mtendaji wa chombo kikubwa cha habari hapa nchini yaani BLOGU YA WANANCHI.
View attachment 1771598View attachment 1771599

Pita hapa chini kutoa neno la pongezi kwa maharusi hawa.
Babu bado mgonjwa huyo dada kaenda msalimia hapo
 
Akija atawaambia vijana pigeni kazi...u know...hizi rangi adimu u know...nothing personal, just saying U know....and this case is closed....imeisha iyo...
 
Back
Top Bottom