kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,072
- 1,340
Bby muche bwana Le mutual wawatuuKumbe Lemutuz ndio mzee hivyo?halafu kapauka kinyama
Bby muche bwana Le mutual wawatuuKumbe Lemutuz ndio mzee hivyo?halafu kapauka kinyama
Mi alishanipiga block miaka mingi.ange tu block members wooote humu maana insta waga anagawa block kama pipi
Anaumwa.hapo kapunguaKumbe Lemutuz ndio mzee hivyo?halafu kapauka kinyama
Mama Samia anaweza kuwa mdogo kwa jamaaKumbe Lemutuz ndio mzee hivyo?halafu kapauka kinyama
Mtu yoyote akigundua iko ndo kinakukasrisha lazima azungumzieKinachoshangaza ni namna vijana wa kiume wanapoyazungumzia maumbile ya mwanaume mwenzao.......??
How come mtoto wa kiume unakuwa concerned na maumbile ya mwanaume mwenzio.....hayo yalitakiwa yajadiliwe na watoto wa kike......
Ndio....lakini ingetegemewa utani kama huo utoke kwa mwanamke kwenda kwa mwanaume....na sio kinyume chake......ikiwa kinyume chake inazua maswali mengi....Mtu yoyote akigundua iko ndo kinakukasrisha lazima azungumzie
Zamani nilikuwa najua jamiiforum ni yake
Le Mubebe lakini si tulikubaliana huu mwezi uwe wa mwisho kutumia lile Jani? Ina maana siku zote uko mitandaoni hukuwahi kumuona Le MutuzKumbe Lemutuz ndio mzee hivyo?halafu kapauka kinyama
presha ya nini?Lemutuz pamoja na kuwa na baba mwenye uwezo alipoteza muda wake ughaibuni na kurejea akiwa hana lolote wala lolote. Ama kweli kuna kipindi simba anaweza kuzaa mbwa! Kwa umri huu na mtoto mdogo ambaye ni umri wa binti yake atapata nini zaidi ya presha? Somo ni kwamba kuna haja ya kusoma alama za nyakati.
Kuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko, mtoto guu guu, super mtindi yaani Kardashian huyu hapa.
Ndoa hiyo iliyofanyika downtown Bongo ilikuwa ya watu wachache sana ambayo ilifuatiwa na sherehe fupi , baadae maharusi waliingia ndani ya Noah ya Lemutuz kuelekea hotelini kwenye fungate.
Bibi harusi inatajwa pamoja na mambo mengine inawezekana akachukua nafasi ya juu ya utendaji katika moja ya makampuni makubwa yanayomilikiwa na gwiji hilo, huku wadadisi wa mambo wakidai huenda akawa mkurugenzi mtendaji wa chombo kikubwa cha habari hapa nchini yaani BLOGU YA WANANCHI.
View attachment 1771598View attachment 1771599
Pita hapa chini kutoa neno la pongezi kwa maharusi hawa.
Lemutuz hela za mama unaharibu sana.Kuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko, mtoto guu guu, super mtindi yaani Kardashian huyu hapa.
Ndoa hiyo iliyofanyika downtown Bongo ilikuwa ya watu wachache sana ambayo ilifuatiwa na sherehe fupi , baadae maharusi waliingia ndani ya Noah ya Lemutuz kuelekea hotelini kwenye fungate.
Bibi harusi inatajwa pamoja na mambo mengine inawezekana akachukua nafasi ya juu ya utendaji katika moja ya makampuni makubwa yanayomilikiwa na gwiji hilo, huku wadadisi wa mambo wakidai huenda akawa mkurugenzi mtendaji wa chombo kikubwa cha habari hapa nchini yaani BLOGU YA WANANCHI.
View attachment 1771598View attachment 1771599
Pita hapa chini kutoa neno la pongezi kwa maharusi hawa.
Hongera kwakeKuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko, mtoto guu guu, super mtindi yaani Kardashian huyu hapa.
Ndoa hiyo iliyofanyika downtown Bongo ilikuwa ya watu wachache sana ambayo ilifuatiwa na sherehe fupi , baadae maharusi waliingia ndani ya Noah ya Lemutuz kuelekea hotelini kwenye fungate.
Bibi harusi inatajwa pamoja na mambo mengine inawezekana akachukua nafasi ya juu ya utendaji katika moja ya makampuni makubwa yanayomilikiwa na gwiji hilo, huku wadadisi wa mambo wakidai huenda akawa mkurugenzi mtendaji wa chombo kikubwa cha habari hapa nchini yaani BLOGU YA WANANCHI.
View attachment 1771598View attachment 1771599
Pita hapa chini kutoa neno la pongezi kwa maharusi hawa.
Babu bado mgonjwa huyo dada kaenda msalimia hapoKuteleza sio kuanguka, baada ya Lemutuz mara kadhaa kula hela za michango ya harusi yake kwa bahati mbaya hatimaye gwiji la mitandao ya kijamii ukanda huu wa maziwa makuu limefanikiwa kuvuta jiko, mtoto guu guu, super mtindi yaani Kardashian huyu hapa.
Ndoa hiyo iliyofanyika downtown Bongo ilikuwa ya watu wachache sana ambayo ilifuatiwa na sherehe fupi , baadae maharusi waliingia ndani ya Noah ya Lemutuz kuelekea hotelini kwenye fungate.
Bibi harusi inatajwa pamoja na mambo mengine inawezekana akachukua nafasi ya juu ya utendaji katika moja ya makampuni makubwa yanayomilikiwa na gwiji hilo, huku wadadisi wa mambo wakidai huenda akawa mkurugenzi mtendaji wa chombo kikubwa cha habari hapa nchini yaani BLOGU YA WANANCHI.
View attachment 1771598View attachment 1771599
Pita hapa chini kutoa neno la pongezi kwa maharusi hawa.