Miaka kumi ya Ubunge wa Lembeli hakuna alichokifanya jimboni kwake....Kwasababu Lembeli hakufanya chochote tofauti na kufanya majungu,lembeli amekutana na wakati mgumu sana kwani ukimuuliza alifanya nini jimboni mwake,anasema alitoa vikoba kwa wananchi na kufanya mikutano mingi kwenye kata zake...je hayo ndio mahitaji ya watu wa kahama?Mbunge wa Zamani mweshimiwa MLOLWA yeye alinunua vitanda kumi kwenye wodi ya wazazi" labour"kulingana na mahitaji yetu ya kipindi hicho.....MLOLWA alidraft program ya maji mji wa kahama.....MLOLWA amejenga mashule ya kata akishirikiana na Jumanne Nkadi Kishimba zikiwemo dispensari.....Je tunahoji,kwasababu Lembeli umeshindwa hata kununua vitanda vingine LABOUR kulingana na ongezeko la wazazi kwenye hospitali mpaka kufikia wazazi50 kwa siku,je unafaa kuendelea kuwa mbunge kwa awamu ya tatu?pia kahama tumekuwa na tatizo la umeme kutokana na ongezeko la watu na mahitaji ya umeme....mh.Lembeli hajafanya mpango wowote wa kujenga sub station mpya buzwagi ili kuweza kuunganishiwa umeme wa uhakika na badala yake Lembeli uliongoza malimbano na mgodi,je anafaa kuendelea kuwa mbunge?Lembeli umeshindwa kuomba mgodi ukujengee Hospitali ya kisasa mjini kahama badala yake umekuwa mtu wa kulalamika na kwenda CHILA CLUB...kuvinjari na mabinti wadogo.....je unafaa kuendelea kuwa mbunge?Lami iliyojengwa mjini kahama ni matunda ya Mh.Benson Mpyesa ambae ni mkuu wa wilaya ya kahama,je wewe Lembeli endapo utashindwa ubunge tutakumbuka kwa lipi mjini kahama?