johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,543
- 141,351
Mwanachama wa CCM mzee Lembeli anasema CCM ni chama kizuri ila baadhi ya viongozi na wanachama wake ni waongo, wanafiki tena wana roho mbaya sana.
Lembeli anasema aliondoka CCM na kuhamia Chadema baada ya kushindwa kuvumilia matusi aliyotukanwa na wabunge wa CCM baada ya kuwasilisha ripoti ya operesheni Tokomeza.
Amemalizia kwa kusema aliamua kurejea CCM baada ya kuona Mwenyekiti wa sasa anakibadilisha chama na kusimamia ukweli. Alifanya hivyo pia baada ya kuombwa na wakazi wa Kahama, mama yake pamoja na Rais Magufuli mwenyewe.
Source Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!
Lembeli anasema aliondoka CCM na kuhamia Chadema baada ya kushindwa kuvumilia matusi aliyotukanwa na wabunge wa CCM baada ya kuwasilisha ripoti ya operesheni Tokomeza.
Amemalizia kwa kusema aliamua kurejea CCM baada ya kuona Mwenyekiti wa sasa anakibadilisha chama na kusimamia ukweli. Alifanya hivyo pia baada ya kuombwa na wakazi wa Kahama, mama yake pamoja na Rais Magufuli mwenyewe.
Source Clouds 360
Maendeleo hayana vyama!