Ha ha ha tinde au kagongwa paleAnajuta kumfuata LUWASSA.... mwezi uliopita tulikutana nae maeneo ya TINDE tukapiga nae supu kwenye vibanda!
Wacha kulialia...uchochezi uko wapi?..au hukutaka ivuje?..mliambiwa msichukuwe oil chafu,mkatoa povu kuwa mtaitumia kupaka mbao zisiliwe na mchwa.sijaona kosa la lembeli hapo. mtoa mada ni mchochezi tu...
Kwa taarifa ni kwamba lembeli alipata ccm mapema sana, kabla hata ya lowassa.Anajuta kumfuata LUWASSA.... mwezi uliopita tulikutana nae maeneo ya TINDE tukapiga nae supu kwenye vibanda!
Chama kipo damuniWana Jf wasalaam!
Aliyekuwa Mbunge wa CCM kahama na kuhamia Chadema Bwana James Lembeli ameisifu sana kasi ya Magufuli ya kutumbua majipu na kumuhasa aendelee na yuko tayari kumuonesha majipu mengine ambayo anayajua..pia amemsifu sana na kusema anafanya walio akiyasema na ana muunga mkono!
Kauli ya James Lembeli imetofautiana na ya Mbowe ambaye amekuwa akipinga utumbuaji majipu wakisema una kiuka haki za binadamu!
Wakati huo huo Mbuge wa Bukoba mjini Wilfredi Lwakatale amepinga tabia ya viongozi na wanachama wachadema kusema wameibiwa kura wakati hawajiandai na uchaguzi,amesema ni vyema viongozi na wanachadema wakajikita kujiandaa na uchaguzi ujao kuliko kujikita kulalamika wameibiwa kura!
Source :ITV
ITV nao wachochezi au?sijaona kosa la lembeli hapo. mtoa mada ni mchochezi tu...
Ha ha ha tinde au kagongwa pale
Hhaha umenikumbusha mbali mzee Duni alikuwa anaita Luwasa dahLuwasa ndiyo nani?
NYEUPE NYWELE aka Mchunga Ngombe!Luwasa ndiyo nani?
Hoja hizo ndizo zilizopingwa na LWAKATARE, tena aliuliza, kama CCM wanaiba kura au matokeo vyovyote utakavyoita, yeye alipataje ubunge?Mkuu labda nikujuze kitu kimoja ambacho inawezekana hata wewe hukijui. Lakini kwa mimi ninaye ijua vizuri Ccm nitakuambia hivi; CCM HUWA HAWAIBI KURA, BALI WANAIBA MATOKEO. Mfano jimbo la Newala mkoani Mtwara, matokeo ya kura zote zilizohesabiwa zinaonyesha Ndugu Manguya wa CHADEMA alishinda Kwa zaidi ya kura elfu 36 dhidi ya Mkuchika wa CCM. Alichokifanya Mkurugenzi ni kuhamisha matokeo ya Manguya na kumpa Mkuchika na kisha kumtangaza mshindi.
Kama Mkuu wa Mkoa Mpya wa Songwe hajapatikana, vipi kuhusu wilaya? haya rudi kwenye madaMkuu Wilaya mpya ya Nyasa tayari ashateuliwa kada?