Uchaguzi 2020 Lema wewe sio wa kuomba kuchangiwa hela ya kampeni

idawa

JF-Expert Member
Jan 20, 2012
25,284
38,312
Lema umekuwa Mbunge wa Arusha mjini kwa vipindi viwili mfululizo, tena ukilipwa mamilioni ya shilingi kwa mwezi.

Kama hiyo haitoshi umelipwa viinua mgongo viwili kingine bado hakijapoa kabisa zaidi ya milioni 200.

Leo bila aibu unajitokeza kuomba kuchangiwa kampeni, hii ni aibu ya mwaka mwongope Mungu.

Ina maana hukujiandaa miaka yote hii kuwa 2020 Kuna uchaguzi.?

Mh.Lema kuwa na aibu hata kidogo, huo ni wizi wa mchana kweupe

Huu sawa na ufisadi tu,Jimbo lenyewe Arusha mjini unapiga kampeni unarudi kulala Nyumbani kwako.

IMG_20201015_213511.jpg
 
Kampeni ni gharama mkuu, ukisema uwekeze pesa binafsi kwenye kampeni unaweza komba akaunti zote alafu ukianguka ndio unarudi chini kabisa.

Kukodi magari, kumobilize watu, kuhost mikutano, kuzunguka mtaa kwa mtaa lazma utoe motisha kwa wapambe, bado media campaign, kuna mabango n.k

So kuepuka risk ni bora uchangishe ili uweze kucover gharama za uchaguzi bila kuziweka rehani mali binafsi
 
1602789230599.png


Muda umefika tunaogopa maana msimu huu huja kila baada ya miaka 5​
 
Kampeni ni gharama mkuu, ukisema uwekeze pesa binafsi kwenye kampeni unaweza komba akaunti zote alafu ukianguka ndio unarudi chini kabisa.

Kukodi magari, kumobilize watu, kuhost mikutano, kuzunguka mtaa kwa mtaa lazma utoe motisha kwa wapambe, bado media campaign, kuna mabango n.k

So kuepuka risk ni bora uchangishe ili uweze kucover gharama za uchaguzi bila kuziweka rehani mali binafsi.
Natambua hilo mkuu lakini mbunge ambaye amekuwa mbunge wa awamu mbili mfululizo hiyo ni aibu.

Kumbuka sababu kubwa ya wabunge kulipwa mishahara na vinuua mgongo vikubwa ni sehemu ya maandalizi ya awamu inayofuata.

Huu ni ubinafsi mkubwa Sana wa viongozi wetu hakuna tofauti na ufisadi.
 
Wagombea wengi wa chadema wana haki mbaya sana kifedha. Kama lema ni hivi vupi mgombea wa pale simiyu na kwingineko?
Kwa wagombea wageni sawa lakini sio hawa aina ya Lema.
 
Pamoja na kwamba kampeni ni gharama ila Lema ana nafuu ni tofauti na wagombea wapya ambao hawajafika mjengoni....
Sasa kama Lema anaomba msaada vipi kwa wagombea wageni kabisa kwenye uchaguzi.
 
Alafu kama anaona gharama kubwa basi asigombee.
Hii nchi kuna wajinga wengi, huwezi amini kuna watu watachanga
Natambua hilo mkuu lakini mbunge ambaye amekuwa mbunge wa awamu mbili mfululizo hiyo ni aibu.

Kumbuka sababu kubwa ya wabunge kulipwa mishahara na vinuua mgongo vikubwa ni sehemu ya maandalizi ya awamu inayofuata.

Huu ni ubinafsi mkubwa Sana wa viongozi wetu hakuna tofauti na ufisadi.
 
Nilishawaambia Lema anataka ubunge kwa maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya wanaArusha...huyu ni mnyang'anyi...baadhi ya watu wa Arusha ni mashabiki tu wa chadema..ila Lema hajawahi kuwa chachu ya maendeleo Arusha.
 
Sasa kama Lema anaomba msaada vipi kwa wagombea wageni kabisa kwenye uchaguzi.
Ni jambo la kawaida sana, Marekani wagombea wanachangiwa, mwenye dollar moja haya, mwenye dilkar tano hayaa

Kwahiyo sioni tatizo kwa wanaompenda Lema wakimchangia, ingawa mimi binafsi siwezi kumchangia mbunge, labda Lisu naweza kumchangia najuwa amedhurumiwa na mashetani kina Ndugai.
 
Back
Top Bottom