Lema: Ukimya wa Polisi kwenye mapokezi ya Lisu ni Chroloquine iliyopakwa sukari, kuna jambo linafikiriwa

Lema anajaribu kutengeneza taswira kwamba "kuwa mpinzani lazima utendewe mabaya sikuzote", and anasahau kufikiri kwamba yawezekana police waliamua ku withdraw baada ya kugundua kwamba nguvu ya uma/umati mkubwa ulio jitokeza kumpokea Lisu ulikua ni mkubwa hata kuzidi nguvu ilio andaliwa.
Subutuuuu waliji withdraw kwa sababu Tanzania kuna ugeni kwa ajili ya mazishi. Ingeleta picha mbaya.
Otherwise chamtemakuni cdm wangekiona
Ila mbabe bashite angekuwepo mbn moto ungewaka ivo ivo hana simile mjinga yule.
 
Lema anajaribu kutengeneza taswira kwamba "kuwa mpinzani lazima utendewe mabaya sikuzote", and anasahau kufikiri kwamba yawezekana police waliamua ku withdraw baada ya kugundua kwamba nguvu ya uma/umati mkubwa ulio jitokeza kumpokea Lisu ulikua ni mkubwa hata kuzidi nguvu ilio andaliwa.
Ule umati unatosha gari moja tu la washawasha bila hata shida kabisa.

Shida yenu mulijiandaa na makamera ya wafadhili.. mlipigwa chenga ya mwili sasa hamna hamu.
 
😂😂😂😂😂😂😂

Think tanks wa CHAD3MA hawapo tena na nyinyi, hamjui htamjipangeje.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Godbless Lema ameonya wanachama na wapenzi wa chama hicho juu ya ukimya ulioonyeshwa na jeshi la polisi jana wakati wa mapokezi ya makamu wa mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu alipowasili nchini.

“Sina amani kwa tabia nzuri walioonyesha Jeshi la Polisi jana wakati wa mapokezi ya Mh Tundu Lissu. Ninapaswa kujiuliza maswali mengi na majibu yawe tofauti na fikra za watu wengi, ninaona ni kama chloroquine imepakwa sukari, kuna kitu kinafikiriwa na sisi tunapaswa kufikiri zaidi” ameandika Lema.

Nchi kuwa kwenye msiba mkubwa wa kitaifa, siasa ikawekwa kando, jambo ambalo viongozi wa CHADEMA hawakulitambua. Yawezekana pia walipuuza na badala yake wakatumia ujio wa Lissu kama kiki ya siasa kama wanavyotumia misiba kama majukwaa ya kisiasa. HOVYO!
 
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Godbless Lema ameonya wanachama na wapenzi wa chama hicho juu ya ukimya ulioonyeshwa na jeshi la polisi jana wakati wa mapokezi ya makamu wa mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu alipowasili nchini.

Lema ameonya hayo kupitia ujumbe aliotuma kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Twitter, amesema wapinzani wanapaswa kujiuliza maswali mengi na majibu yawe tofauti na fikra za watu wa kawaida.

“Sina amani kwa tabia nzuri walioonyesha Jeshi la Polisi jana wakati wa mapokezi ya Mh Tundu Lissu. Ninapaswa kujiuliza maswali mengi na majibu yawe tofauti na fikra za watu wengi, ninaona ni kama chloroquine imepakwa sukari, kuna kitu kinafikiriwa na sisi tunapaswa kufikiri zaidi” ameandika Lema.

Hapo jana Julai 27, 2020 mamia ya wanachama wa chama hicho wamejitokeza kwa wingi kumlaki makamu mwenyekiti wao, Tundu Lissu aliyerejea nchini baada ya miaka mitatu ya kupatiwa matibabu nchini Ubeligiji.



Sijapata kuona watu wenge kama hawa,wakipelekewa shows za kibabe wanalialia, wakipotezewa vile vile wanalia lia!!!
 
Ogopa sana mtu akutie dole afu aondoke mkono kautia mfukoni asikunukishe hata harufu yake.
 
Lema upo sahihi, ni sawa na enzi za primary, baba anayekuadhibu kila siku ukirudi toka kucheza mpira.......sasa mida hiyo unarudi saa moja unusu unamkuta mshure yupo unamsalimia anajibu na wala hakumindi kabisa... msosi unatengwa mezani unakula fresh tu...unaoga unakwenda kulala kimyaaa...

Aisee usingizi ni lazima ukuparame....kweli kabisa mawazo lazima yawe mengi mno..!! Why? Why today?
 
watu wengine kweli kichefuchefu. lingetokea la kutokea wangelia, halijatokea la kutokea pia wanalia! Mna jema nyie?
 
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA) Godbless Lema ameonya wanachama na wapenzi wa chama hicho juu ya ukimya ulioonyeshwa na jeshi la polisi jana wakati wa mapokezi ya makamu wa mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu alipowasili nchini.

Lema ameonya hayo kupitia ujumbe aliotuma kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Twitter, amesema wapinzani wanapaswa kujiuliza maswali mengi na majibu yawe tofauti na fikra za watu wa kawaida.

“Sina amani kwa tabia nzuri walioonyesha Jeshi la Polisi jana wakati wa mapokezi ya Mh Tundu Lissu. Ninapaswa kujiuliza maswali mengi na majibu yawe tofauti na fikra za watu wengi, ninaona ni kama chloroquine imepakwa sukari, kuna kitu kinafikiriwa na sisi tunapaswa kufikiri zaidi” ameandika Lema.

Hapo jana Julai 27, 2020 mamia ya wanachama wa chama hicho wamejitokeza kwa wingi kumlaki makamu mwenyekiti wao, Tundu Lissu aliyerejea nchini baada ya miaka mitatu ya kupatiwa matibabu nchini Ubeligiji.

Kama huwezi kuamini huduma zinazotolewa na serikali utaamini ya nani sasa. Ndiyo maana hamkuamini hata ratiba ya mazishi mkatoka na ratiba matokeo yake mkakwama. HAISHANGAZI SANA
 
That's way chama tawala na dola inatakiwa kuwa!!

Jmaa anafanya mambo ya kitaani yani yeye kwenye ugomvi badala ya kufurahia amani ndio kwanza anabeba mchanga wa kuputa huku akitamka "jamaa unakubaliji wkt mwenzako kakutia singi puta hapa umuoneshe"..

So kile kimya kimemuuma sana jmaa!!!
 
Tokea arejee nchini yule msaliti wa taifa (Mst),ndani ya cdm imefunika spirit of fear of unknown ( roho ya hofu isiyofamika).
Cdm walikuwa wameshajenga mawazo tofaut tofauti yenye hofu nyuma yake dhidi ya vyombo vya usalama,bahati mbaya hakuna wazo hata moja walilokuwa wamelidevelop ndani ya vichwa vyao lililofanikiwa kudhihirika,
na matokeo yake wamejikuta wanafunikwa mioyo yao na hofu isiyofamika ( Fear of unknown)
 
Polisi wakiwavurumishia chadema na mabomu na kuwatwanga virungu mnalalamika wakuwaacha huru mfanye Mambo yenu mnalalamika mnataka Nini nyie Chadema? Waelezeni Hadi hao Lisu wazungu aliowalaghai na kuwaibia kuwa Akifika ataumizwa na ana uhakika!!!:arudishe Pesa za wazungu
 
ndio maana watalaam wanasema ukimfumania mkeo we usipanic jifanye kama hujaona kitu na yeye akiona ukimya wako ataondoka mwenyewe kimya kimya maana atashindwa kukuelewa unawaza nini.

kumbe chadema walifikiria kwamba watapigwa ili wapate kiki eh ?

Anko ana akili kuliko mnavofikiria nyinyi...
 
Back
Top Bottom