johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 66,900
- 102,158
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema mh Lema amesema CCM wamemaliza Kipanga safu yao ya uongozi pale Dodoma juzi wakiusubiri Uchaguzi.
Chadema itafanya Uchaguzi wa Viongozi wake mwakani na Kuanzia January 2024 tutaanza mikakati ya kutafuta Ushindi kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi mkuu, amesisitiza Lema
Katika nyakati hizi tunatazama Mbele hatutarajii kupotezeana muda, amesema Nabii Lema huko space
Chadema itafanya Uchaguzi wa Viongozi wake mwakani na Kuanzia January 2024 tutaanza mikakati ya kutafuta Ushindi kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi mkuu, amesisitiza Lema
Katika nyakati hizi tunatazama Mbele hatutarajii kupotezeana muda, amesema Nabii Lema huko space